Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Ila aliyezusha huo uzushi amefanikiwa sana kuchota akili za watuJana Mimi nimeshinda Nachek unabisha Nini sasa wakaweka minyimbo yao hyo[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila aliyezusha huo uzushi amefanikiwa sana kuchota akili za watuJana Mimi nimeshinda Nachek unabisha Nini sasa wakaweka minyimbo yao hyo[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
Siyo hao pekee,kwa wakulima wa korosho,mbaazi,pamba,kahawa?Kuna wafanyabiashara walionyanyaswa na TRA,wafugaji waliotimuliwa nchi nzima,watumishi waliotumbuliwa na kuambiwa wana vyeti feki,vijana walioongezewa makato ya HELSB,waliokosa ajira,Wananchi waliobomoleshwa nyumbani zao bila fidia?Orodha ya wahanga wa huyu Baba ni ndefu,tujitafakari!Watumishi wote na familia zao kura kwa lissu
Wazee W kuedit..... Tuwekee na za ccm mnazojaza watoto wa primaryNa huyu ni Lowassa 2015.
Kiufupi huyu Lissu wako ni tone tu kwenye bahari
View attachment 1571861View attachment 1571862View attachment 1571863View attachment 1571864
Sema kweli!!!!CCM ya Magufuli imakataliwa Tanganyika na Zanzibar. Duniani na Mbinguni.
Hizi pumba huku jf hatuzitumii, pelekea kuku wale.
Mi mwenzenu nikiona picha ya Lisu siku yangu Inaenda smooth mno...yaan moyo unatakasika mnoo...! Mie siamini kMa huyu jamaa ni pure Tz!!ni genius mnooo...anamtoa jasho za makalio jpm
Mkuu ni kweli, wale watu wa mkoa wa kagera hawana maujinga, wamemwambia magufuri hatukutakiii, kwa hasira akawaambia msiponipigia kura mtaona, lakini pia aliagiza polisi wawakamate wale waliosikika wakisema hatukutakiiNasikia kuna mgombea ameambiwa.
HATUKUTAKIIIIIIIII
Sijui ni kweli au stori tu
[emoji23][emoji23][emoji373][emoji1009]Mi mwenzenu nikiona picha ya Lisu siku yangu Inaenda smooth mno...yaan moyo unatakasika mnoo...! Mie siamini kMa huyu jamaa ni pure Tz!!ni genius mnooo...anamtoa jasho za makalio jpm
BONGE LA AIBU.Mkuu ni kweli, wale watu wa mkoa wa kagera hawana maujinga, wamemwambia magufuri hatukutakiii, kwa hasira akawaambia msiponipigia kura mtaona, lakini pia aliagiza polisi wawakamate wale waliosikika wakisema hatukutakii
MkuuMkuu ni kweli, wale watu wa mkoa wa kagera hawana maujinga, wamemwambia magufuri hatukutakiii, kwa hasira akawaambia msiponipigia kura mtaona, lakini pia aliagiza polisi wawakamate wale waliosikika wakisema hatukutakii
Walikata matangazo pale pale wakaweka nyimboza kampeni..so haiwez kuwepo..na hakuna mwenye chombo Cha habari mwenye guts za kuonesha..unataka afungiwe maishaMkuu
Imeshindikana kabisa kupata ka msaada ka clip, tuweze kukatumia kama ushahidi wa wakulungwa kumkataa Meko hadharani.
Kwa jinsi watz walivyo hodari wa kukusanya taarifa, wasingeshindwa kupata hata recorded voice au video fupi tu ya hilo tukio.Walikata matangazo pale pale wakaweka nyimboza kampeni..so haiwez kuwepo..na hakuna mwenye chombo Cha habari mwenye guts za kuonesha..unataka afungiwe maisha
...elimu yako sijui... ni theory gani hiyo ya physics ?Hii mmeipiga angle ya mbali Sana ili watu waonekane wengi.
Pole sana Mr stroke najua unapitia magumu sana kwenye kumtetea bwana yule, eti ni kweli Kagera wamkataa na kumzomea?Hii mmeipiga angle ya mbali Sana ili watu waonekane wengi.