JongweNawasilimu wakazi wa JF!
Kuna picha zipo mtandaoni Lumumba wakiziona wanaumia mara mbili.
Hizi ni kama za Tundu Lissu akionesha Tabasamu lenye kuashiria Ushindi, Uso wa Lissu ni wenye furaha ya ndani kutoka kumoyo.
Hizi ni zile picha ambazo LISSU hatumii wanafunzi, Wasanii na kusomba watu kwa kuwapa elfu tano ili kujaza idadi.
Mama Nyerere aliongea wazi aliletwa kuongeza idadi hakuwa tayari kuja[emoji23][emoji23]
Basi naomba tuzitupie picha hapa, wakipaniki tunaongeza spana.
Ni yeye 2020.
We are even crying while witnessing such crimes in our only county Mama Tanzania. And yet there our fellow country citizens or their puppets who dare to praise thief's.So so sad yani. Ndio maana Tundu Lissu anauchungu sn na haya majizi ccm kuanzia mwenyekiti wao fisadi
Kubwa kuliko tuliaminishwa upinzani umekufa lakini sielewi hao wanaoenda kwa lisu wametoka wapi, kwa nilivyokuwa naskia sikutegemea lisu kufikisha watu hata mia lakini kinyume chake watu wanajitokeza mikutanoniNa huyu ni Lowassa 2015.
Kiufupi huyu Lissu wako ni tone tu kwenye bahari
View attachment 1571861View attachment 1571862View attachment 1571863View attachment 1571864
Sasa hivi wamekuja na jipya eti wengi wanaokwenda kwenye mikutano ya Lissu hawana vichinjio.Kila siku mbogamboga wanaibuka na mapya🤣🤣🤣🤣Kubwa kuliko tuliaminishwa upinzani umekufa lakini sielewi hao wanaoenda kwa lisu wametoka wapi, kwa nilivyokuwa naskia sikutegemea lisu kufikisha watu hata mia lakini kinyume chake watu wanajitokeza mikutanoni
Hii habari haina hata ushaidi wa sauti wala video, kila mtu anasema nasikia nasikia mbona mengine yanakuwaga na ushahidi. Niliamua hadi ingiakwenye makundi ya wanakagera labda nipata video, wengi wao waliokuwepo uwanjani wanashangaa kuhusu hii habari, na wanaounga mkono nao wanasema wamesikia.Mkuu ni kweli, wale watu wa mkoa wa kagera hawana maujinga, wamemwambia magufuri hatukutakiii, kwa hasira akawaambia msiponipigia kura mtaona, lakini pia aliagiza polisi wawakamate wale waliosikika wakisema hatukutakii
Kweli nimegundua nchi inahitaji mabadiliko....Lissu ni mpaka mafuta wa Bwana.View attachment 1572820
Kweli kabisa...kipindi hicho cha kina Slaa na Lowassa... manzingira ya kisiasa hayakuwa kama kipindi hiki....hivyo Chadema na Lissu kwa ujumla wake wanahitaji kupongezwa....miaka mitano chama hakijafanya mikutano na shughuli zote za kisiasa kutokana na marufuku.... na kesi za kumwaga mahakamani....vipi kama wangeruhusiwa kufanya harakati za kisiasa... nadhani kwa sasa ingekuwa tofauti na ilivyokuwa kwa kina SlaaAnachosahau pia kipindi hicho media zilikuwa huru, wananchi walikuwa huru, vyama vilikuwa huru, hivyo hata mikutano ilikuwa ikitangazwa kwenye vyombo vya habari.
Leo hii watu wanaitana kwenye mikutano kwa WhatsApp tu
Watumishi wa Umma?Watumishi wote na familia zao kura kwa lissu
MaCCM mnaweweseka....2020 ni yeyeDogo umeanza kufuatilia siasa baada ya Lisu kutoka ubelgiji siyo?
Hebu tazama hii ya miaka 10 iliyopita kisha niambie huyo Lisu wako anaingia mara ngapi hapo? View attachment 1571855View attachment 1571856View attachment 1571857View attachment 1571858View attachment 1571859
So so sad yani. Ndio maana Tundu Lissu anauchungu sn na haya majizi ccm kuanzia mwenyekiti wao fisadiWe are even crying while witnessing such crimes in our only county Mama Tanzania. And yet there our fellow country citizens or their puppets who dare to praise thief's.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pisi kali inakuja ghetto unamkuta kavaa hiviView attachment 1572888
Huyo mwana ccm mwenzenu ambaye sasa hv mpo nae huku sio habari ya mjini tenaDogo umeanza kufuatilia siasa baada ya Lisu kutoka ubelgiji siyo?
Hebu tazama hii ya miaka 10 iliyopita kisha niambie huyo Lisu wako anaingia mara ngapi hapo? View attachment 1571855View attachment 1571856View attachment 1571857View attachment 1571858View attachment 1571859