Inaweza kuwa sio dalili njema kwake hasa kimapato.Hiyo picha sijui kaipigia wapi?, tushazoea za kwenye mahotel na majumba ya kifahari
I miss you too
ohooo!!kwani yule kijana alieshinda mabilion wameachana?Wale mnaotafuta wachumba, madame yuko single bado.
Kwanza ni kwanini wanamwita malikia?Malkia wa bongo movie?
Shamsa ford aitwe nan?
Wolper...uwoya..lulu
Naona ndo kitu chenyewe kipya alichokuja nacho mwka huu, atupishe
anataka kuizma arobaini ya nirran mchwi h yo hana lolote
Nahisi atatangaza karibuni ana mimba Mkuu.utasikia kaolewa au ana mimba
Kifua kimepigwa jeki..Karudi kwa gia ya kuringishia kifua
Kifua kimepigwa jeki..
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Anataman avue kabisa kubakiwa na chupi kama zari ila anaona soo wajanja wataiwekea michirizi ya kutosha.