Picha: Wema arudi upya Instagram, ahaidi makubwa 2017

Picha: Wema arudi upya Instagram, ahaidi makubwa 2017

Malkia wa bongo movie?
Shamsa ford aitwe nan?
Wolper...uwoya..lulu
Kwanza ni kwanini wanamwita malikia?

Ana kipi cha ziada alichofanya kwenye tasnia ya filamu bongo kuliko wenzake kiasi cha yeye kutunukiwa cheo cha "umalikia"?
 
Au ile movie ya van vicker ya miaka ileee bila kusahau ule uzinduzi wa movie yake ambayo haijatoka hadi wa leo.
Naona ndo kitu chenyewe kipya alichokuja nacho mwka huu, atupishe
 
Au ile movie ya van vicker ya miaka ileee bila kusahau ule uzinduzi wa movie yake ambayo haijatoka hadi wa leo.
anataka kuizma arobaini ya nirran mchwi h yo hana lolote
 
Kama ni nyota tayar keshaibiwa zamaani. Yaan mtoto nillan kajaza wadhamin wa kutosha
16230524_131550774023816_2587486425951764480_n.jpg

anataka kuizma arobaini ya nirran mchwi h yo hana lolote
 
Back
Top Bottom