Picha ya Dkt. Salmin Amour na Dkt. Hussein Mwinyi inaliza

Aisee, kupitia haya liwe funzo kwa viongozi kuheshimu matakwa ya wananchi.God forgive him! AMINA
 
Mungu FUNDI, amempiga upofu huyu jamaa kwa kushirikiana na Mkapa kudhulumu haki ya Wazanzibari kuishi.
 
Huwezi kudhulumu haki za maelfu ya Watu kuishi kisha Mwenyezi mungu akuache tu, malipo ni hapa hapa duniani. Mjulisheni na baba yenu jiwe pia.
 
Ubabe hauna mwenyewe na haulipi. Mwisho wake ni majuto. Ukomandoo huwapi sasa? Peleka salamu hizi kwa Jiwe. Kuna maisha baada ya urais.
 
Kwa kumbukumbu zangu, Maalimu Seif alikua wa kwanza kuingia kwenye siasa na hata kua na nyadhifa kubwa kubwa serikalini kuliko komandoo, binafsi nimemuona kwa mra ya kwanza Maalimu Seif April 1984 na nadhani ndio pia ilikua mara yangu ya kwanza kuiona camera ya video/TV; look at these two people now, Maalimu Seif yu buheri wa afya na komandooo afya yake ni mgogoro; kiburi hakifai, yupo Mungu mbinguni who is the controller of everything; tumuheshimu huyo. Yaani uwe una mamlaka kuliko wengine, uwe fala, uwe na pesa au fukara, kwa Mungu wote ni HALI MOJA tu
 
Kila la heri DR. Hussein,
Hakika Mungu yuko pamoja nawe,
 
Kuna watu wanaamini ukiwa rais hustahili kuumwa au kuwa mlemavu. Hii inaweza tokea hata kwa muuza viazi ambaye hajawahi hata kuiba maji ya kunywa.

Ni kipofu na sioni connection ya upofu wake na urais wake. Nchi ina maelfu ya vipovu na hawajawahi kuwa hata wenyeviti wa kugawa chakula harusini.
 
Kuna mijitu afriti inayofikiri kumuenzi baba wa taifa ni kuendelea kuwanyanyasa raia wasio na hatia Zanzibar, na tayari imeishaanza vitisho!
πŸ˜±πŸ˜±πŸ˜±πŸ’£πŸ’₯β˜ β˜ πŸ’€
 
Huwezi kudhulumu haki za maelfu ya Watu kuishi kisha Mwenyezi mungu akuache tu, malipo ni hapa hapa duniani. Mjulisheni na baba yenu jiwe pia.
Mnamlaumu bure mzee


Mimi si mjuzi wa mambo haya lakini nachoelewa unapoingia kwenye uongozi hasa wa nafasi kubwa kama urais sio suala la mimi tena bali ni suala la sisi

Unataka kuniambia unayowaza wewe au mzee Said mtu kama Shein, Karume au Salmin hayawazi?

Wakati mwingine unakuwa na dhamira fulani lakini unakutana na vigingi heavy unaishia kufanya machache unayoweza

Nasikia kuna kiongozi huko nyuma alitaka kugusa Muungano sijui ikawaje anajua mwenyewe

Maisha ni haya haya
 
Kila la heri DR. Hussein,
Hakika Mungu yuko pamoja nawe,
Mkumbusheni Dr Mwinyi, tunajua yeye ni Swala 5. Aendelee kumuogopa Mungu na akumbuke kuwa Urais unapita tu, na maisha tunapita hapa duniani. Asitamani uraisi utakao kuwa na damu na machozi ya watu wasio na hatia.
 
Kila binadam atazeeka na kunyauka hiyo ni inshu ya biological. Hata maalim kazeeka sana.
Dr Mwinyi tunamjua, ni muadilifu, mpole, huruma, mtu wa watu na mwenye hofu ya Mungu. Lakini uchaguzi ni suala la watu kuwa wanampenda nani zaidi. Asikubali kuingia mkenge wa kuwaumiza watu lwa matakwa ya kutawala
 
Leo hii sipendi kuzisikiliza hotuba za Komando kwani zinanitia simanzi kubwa wala sipendi kumwangalia popote picha zake zinapoletwa.
Shukrani kwa bandiko lako hili, Mkuu, Mohamed Said . Mimi sina mengi zaidi nilivutiwa na sentensi yako hii, hivyo nikalazimika kwenda kutafuta baadhi ya hotuba za 'Komando' huko Youtube. Na huko nimepata


Baada ya kuitazama mpaka mwisho, nimeshangazwa kwa nini, Mkuu, atiwe simanzi na hotuba kama hizi? Ukipata nafasi, unaweza kunifafanulia hili kwa ajili ya kuboresha uwelewa wangu na wa wengine wenye mtazamo kama wa kwangu.

Natanguliza shukrani.
 
Tujitegemee,
Simanzi inaniingia nikimwangalia Komando akihutubia mwenye afya njema.

Leo hata ile sauti yake tuliyoizoea sote haipo.

Niliona clip yake wakati wa msiba wa Mkapa akizungumza.

Kama nisingemuona nisingejua kama huyu ni Komando.

Lakini kubwa linalonisikitisha ni kuwa alishindwa uchaguzi wa 1995.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…