Picha ya Dkt. Salmin Amour na Dkt. Hussein Mwinyi inaliza

Nasikia Zanzibara sasa inwekwa hadi CCTV kamera ili kuwabana vizuri.Vipi unaonaje hilo?
Zanzibar zimewekea vizingiti vya umeme ambavyo vimezikwa chini ya Ardhi,vinakuja juu kwa njia ya kuviwanja kwa umeme..

Vingiti hivyo vimewekwaa Kinazini ilipo Benki Kuu na chengine kinawekwa leo ilipo Sauti ya ( zbc)

Cha kujiuliza,Je serikali ya Mapinduzi inaogopa watu wake?
 
Asante sana kwa ufafanuzi, Mkuu. Sasa nimekuelewa. Hata hivyo, maelezo yako yana mstari mwingine ambao nao umenitatiza. Ni juu ya ushindi wa urais 1995.

Kwa mujibu wa chanzo cha habari cha The Citizen, ni kituo cha televisheni cha DTV wakati huo kilipotosha umma juu ya nani alikuwa ameshinda. Kituo hicho kilitunga matokeo yake. Kwa maelezo zaidi, Mkuu, pitia habari hiyo kwenye link hii hapa chini.

Vinginevyo, Mkuu, kama unasimamia msimamo huo nitakuomba kwa mara nyingine utupe maelezo ya kina ambayo hayatatupa mashaka juu ya ukweli wake.

LINK: Controversy surrounds 1995 Z’bar presidential poll results

Karibu.
 
vifo vya wale waliouawa 2001 vinaumiza sana kumtima!
 
Unapoishi na watu vizuri maisha yako hayaji kuwa sawa kama vile umeishi na watu kwa shari.
 
vifo vya wale waliouawa 2001 vinaumiza sana kumtima!
Maridhiano yalifikiwa baina ya pande zote mbili. Ikiwemo kusameheana. Kwa nini mnataka kuamsha hisia za kuumizana wakati huu!? Sidhani kama mnakusudia kuchochea vurugu Zanzibar. Nasema sidhani!
 
Maridhiano yalifikiwa baina ya pande zote mbili. Ikiwemo kusameheana. Kwa nini mnataka kuamsha hisia za kuumizana wakati huu!? Sidhani kama mnakusudia kuchochea vurugu Zanzibar. Nasema sidhani!
Ukitaka kusamehewa, usirudie kosa, inaonekana CCM Zanzibar walituchezea shere tu. Limejitokeza 2015, baada ya CCM kupora tena ushindi. Kwaio lazima tukumbushie ya 2001 maana wakosaji hawajajifunza bado.
 
 
Tujitegemee,
Katika uchaguzi wa 1995 nilikuwa sehemu ya timu ya Prof. Lipumba na nilizunguka na yeye Bara na nilikuwapo Zanzibar siku ya uchaguzi.

Tume ya Uchaguzi ilianza kubabaika pale siku ya pili asubuhi matokeo yalipoonyesha kuwa Dk. Salmin Amour ameshindwa.

Katika taharuki hii Ali Ameir akaandika barua ya kukataa matokeo.
 
Mimi iiyoniliza hii hapa.

 
Mimi iiyoniliza hii hapa.

View attachment 1570102
Mkaruka,
Hakika picha hiyo ya mama mponda kokoto na mwanae kamlaza chini alale ili yeye aendelee na kazi inaliza.

Nimehamia Masaki mwishoni mwa miaka ya 1970 wakati kulikuwa na ujenzi mkubwa wa nyumba za kuishi.

Mbele ya nyumba niliyokuwa nikikaa palikuwa na uwanja mkubwa ambao hawa akina mama wakija kugonga kokote na kuuza.

Jua kali mvua kubwa wapo pale kuanzia mapema asubuhi hadi jioni wengine wakiwa na watoto wadogo migongoni.

Ukiwaangalia wanavyopigwa na jua kali la saa saba lazima utasikitika.

Picha uliyotuwekea inaliza.
 
Halafu uwe mlemavu na huna hela lazima ujihisi upo jehanum... Kwangu Mimi umaskini nauona kama mojawapo ya ulemavu.
 
Inawezekana hakika, lakini mantiki hapa ni kibri akivaacho mwanadamu apatapo siha mfano wa huyo bwana, kwamba hudhani atabaki hivyo kilele Sasa si lolote si chochote
 
Kipindi hicho Ndio unaanza maisha maana mwaka 1980 Ndio ulikuwa na miaka 28 yaani kabwana kadogo kabisa, moh huwa unanifurahisha unavyusimulia matukio na watu waliokuzidi umri asiefahamu umri wako huenda akadhani wewe ni umri wakina Bomani au Butiku Kumbe hata 70 hujafika. Hongera
 
Connection ipo, Ndio maana tunaambiwa kufanya mema tukiwa na afya, muhali mtu atakae kuja dhoofu baada ya siha iliyombidiisha kufanya mema si sawa na alighulika na afya njema kwa kujivika kibri, Salmin amour angelikuwa hivyo umri wake wote sidhani kama angelikuwa na jeuri ile ya ukomandoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…