Picha ya Harmonize akiwa uchi na kipichu inahuzunisha sana

Ulivyoandika kwa uchungu maskini!

Hao ni Wasanii na Kazi ya Sanaa sharti iwe ya kipekee, unavyoona kwako haviwezekani kwa Mwana Sanaa vinawezekana.
 
Ukishasema akiwa na kichupi maana yake hayupo Uchi.
 
Sijaelewa unaongelea nini.

Soma heading kwanza kisha fanya maboresho ya hoja yako
 
Tusindizwe na goma la
Your browser is not able to play this audio.

kufungia mwaka...
 
HV kina konde ameishia darasa la Saba tu na kajala nae kaishia fom 2

Ajabu nao wanaandika kingireza sana
Kingereza ni lugha tu, yeyote anaweza kuimudu akitaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…