Picha ya Konde Boy inakosolewa sana na wadau mpaka naona kama hana shabiki baada ya kutoka Wasafi

Picha ya Konde Boy inakosolewa sana na wadau mpaka naona kama hana shabiki baada ya kutoka Wasafi

2019

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2018
Posts
3,130
Reaction score
4,735
Inashangaza sana kuona picha nzuri ka hii inakosolewa na baadhi ya watu. Kila anaeiona anasema "Huyu kweli Mmakonde sa ndo msuko gani wa kike" wanadai kuwa hajapendeza na msuko huo.

Mim najaribu kuwauliza vipi kama Mondi akisuka hivyo watakosoa wanavyokosoa hii? Au ni chuki tu baada ya kutoka WCB?.

Wadau mnaonaje picha na muonekano huu wa Mzee Konde?
Mimi namshauri kulingana na maoni ya wadau bora abadili style ya nywele zake tu.

IMG_20200227_070055_2.jpeg

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walishasukaga wakina usher, Robert Kelly, Bow wow miaka ya 90's huko na wengine wengi tu nikitu cha kawaida mm naona duniani hapa vitu vyote kwenye fashion vinajirudia tu vypa ni vichache sana.
 
Msuko wa nywele....!!!!
Nywele nywele nywele za msuko..!!!
Msanii ni sanaa ya usanii wa sanaa.
 
Back
Top Bottom