2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 3,130
- 4,735
Inashangaza sana kuona picha nzuri ka hii inakosolewa na baadhi ya watu. Kila anaeiona anasema "Huyu kweli Mmakonde sa ndo msuko gani wa kike" wanadai kuwa hajapendeza na msuko huo.
Mim najaribu kuwauliza vipi kama Mondi akisuka hivyo watakosoa wanavyokosoa hii? Au ni chuki tu baada ya kutoka WCB?.
Wadau mnaonaje picha na muonekano huu wa Mzee Konde?
Mimi namshauri kulingana na maoni ya wadau bora abadili style ya nywele zake tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mim najaribu kuwauliza vipi kama Mondi akisuka hivyo watakosoa wanavyokosoa hii? Au ni chuki tu baada ya kutoka WCB?.
Wadau mnaonaje picha na muonekano huu wa Mzee Konde?
Mimi namshauri kulingana na maoni ya wadau bora abadili style ya nywele zake tu.
Sent using Jamii Forums mobile app