cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Kila mtu anaishi atakavyo yeye, na sio watakavyo wengine. Hakuna kupangiana lol
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mtu alivaa KIKUKU akatetewa.Ila wasanii wengi wa kiume huwa wanapenda sana mambo ya kike hasa kwenye kujipamba
Sent using Jamii Forums mobile app
ni chakula cha wenyewe wakiwa gizaniIla wasanii wengi wa kiume huwa wanapenda sana mambo ya kike hasa kwenye kujipamba
Sent using Jamii Forums mobile app
mwanaume kunywa twist inahitaji ujitwist akili pia si mchezoInashangaza sana kuona picha nzuri ka hii inakosolewa na baadhi ya watu. Kila anaeiona anasema "Huyu kweli Mmakonde sa ndo msuko gani wa kike" wanadai kuwa hajapendeza na msuko huo.
Mim najaribu kuwauliza vipi kama Mondi akisuka hivyo watakosoa wanavyokosoa hii? Au ni chuki tu baada ya kutoka WCB?.
Wadau mnaonaje picha na muonekano huu wa Mzee Konde?
Mimi namshauri kulingana na maoni ya wadau bora abadili style ya nywele zake tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila wewe pia ni mmoja wapo SEMA tu hapo ajaguswa msanii usiompenda.halafu mbaya zaidi corona inawaacha..
Kwanini isiwapate wachawi Kama nyie hapa.. Mnaoponda jitihada za watu..
Mpaka li Mshana Jr na lenyewe eti lipo kwenye huu upuuzi
hivi vitu ni va kina hamorapa jamani ye ataviwezea wapiInashangaza sana kuona picha nzuri ka hii inakosolewa na baadhi ya watu. Kila anaeiona anasema "Huyu kweli Mmakonde sa ndo msuko gani wa kike" wanadai kuwa hajapendeza na msuko huo.
Mim najaribu kuwauliza vipi kama Mondi akisuka hivyo watakosoa wanavyokosoa hii? Au ni chuki tu baada ya kutoka WCB?.
Wadau mnaonaje picha na muonekano huu wa Mzee Konde?
Mimi namshauri kulingana na maoni ya wadau bora abadili style ya nywele zake tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
halafu mbaya zaidi corona inawaacha..
Kwanini isiwapate wachawi Kama nyie hapa.. Mnaoponda jitihada za watu..
Mpaka li Mshana Jr na lenyewe eti lipo kwenye huu upuuzi
sana ...mi naona akirudi kwenye nyewle zake za kawaida .ni poa hata kama akizifanyia makolokolo lakini siyo hiyo rangi nyeupe nan kusuka twende kilioni2019,
anatuaibisha sana wamakonde huyu jamaa
Sijawahi kumuelewa huyu chalii ata siku moja tangu akiwa wasafi na mpk sasa nje ya wasafi. Yuko so overrated na vitu vyote anaiga toka kwa mond.
Sent using Jamii Forums mobile app
Rudi shule kasome
Lichawi la kwanza hili apa
Ila wewe pia ni mmoja wapo SEMA tu hapo ajaguswa msanii usiompenda.
Kweli kabsaaIla wasanii wengi wa kiume huwa wanapenda sana mambo ya kike hasa kwenye kujipamba
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole pole jamaa anabadilika kutoka Konde boy anakuwa kijana wa kimakonde