Picha ya Konde Boy inakosolewa sana na wadau mpaka naona kama hana shabiki baada ya kutoka Wasafi

Picha ya Konde Boy inakosolewa sana na wadau mpaka naona kama hana shabiki baada ya kutoka Wasafi

Inashangaza sana kuona picha nzuri ka hii inakosolewa na baadhi ya watu. Kila anaeiona anasema "Huyu kweli Mmakonde sa ndo msuko gani wa kike" wanadai kuwa hajapendeza na msuko huo.

Mim najaribu kuwauliza vipi kama Mondi akisuka hivyo watakosoa wanavyokosoa hii? Au ni chuki tu baada ya kutoka WCB?.

Wadau mnaonaje picha na muonekano huu wa Mzee Konde?
Mimi namshauri kulingana na maoni ya wadau bora abadili style ya nywele zake tu.


Sent using Jamii Forums mobile app
mwanaume kunywa twist inahitaji ujitwist akili pia si mchezo
 
halafu mbaya zaidi corona inawaacha..

Kwanini isiwapate wachawi Kama nyie hapa.. Mnaoponda jitihada za watu..

Mpaka li Mshana Jr na lenyewe eti lipo kwenye huu upuuzi
 
Inashangaza sana kuona picha nzuri ka hii inakosolewa na baadhi ya watu. Kila anaeiona anasema "Huyu kweli Mmakonde sa ndo msuko gani wa kike" wanadai kuwa hajapendeza na msuko huo.

Mim najaribu kuwauliza vipi kama Mondi akisuka hivyo watakosoa wanavyokosoa hii? Au ni chuki tu baada ya kutoka WCB?.

Wadau mnaonaje picha na muonekano huu wa Mzee Konde?
Mimi namshauri kulingana na maoni ya wadau bora abadili style ya nywele zake tu.


Sent using Jamii Forums mobile app
hivi vitu ni va kina hamorapa jamani ye ataviwezea wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu jamaa tatizo lengine lazima kila shutingi zake lazima avue shati sijui ndo masharti ya mganga!?
 
Back
Top Bottom