tatizo la konde ni kuiga iga ujinga hapo tu ndo anaharibu
Mbona camera anayotumia sa hv haitoi picha vizur , picha mbovu mbovu Tu hazina mvuto Kwa kweli anazidiwa hata na 📷 ya amber Lulu , picha mbovu Sana , abadilishe 📷 au mpiga picha wake ni mshamba mshamba sanaKwa huu mwonekano dogo alikua vizuri
Yaani kipindi naanza kuwa shabiki wao nilikua nashindwa kuwatofautisha kati ya huyu dogo na dogo domoView attachment 1370877View attachment 1370878
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasikia Mondi anapigwa picha mia angle tofauti hadi domo lake lisipoonekana kubwa ndio wanapostAngebaki na muonekano wake wa zamani ingekuwa poa sasa hiv anaonekana kama mgambo aliyotokea kijijini na kingine picha zake nyingi za sasa anazopiga utazani anatumia camera ya tochi.
Element za ushoga zinawanyemeleaIla wasanii wengi wa kiume huwa wanapenda sana mambo ya kike hasa kwenye kujipamba
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanaume anayesuka ni wa kutazamwa mno
Nasikia Mondi anapigwa picha mia angle tofauti hadi domo lake lisipoonekana kubwa ndio wanapost
kawa kama kaka jambaziInashangaza sana kuona picha nzuri ka hii inakosolewa na baadhi ya watu. Kila anaeiona anasema "Huyu kweli Mmakonde sa ndo msuko gani wa kike" wanadai kuwa hajapendeza na msuko huo.
Mim najaribu kuwauliza vipi kama Mondi akisuka hivyo watakosoa wanavyokosoa hii? Au ni chuki tu baada ya kutoka WCB?.
Wadau mnaonaje picha na muonekano huu wa Mzee Konde?
Mimi namshauri kulingana na maoni ya wadau bora abadili style ya nywele zake tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya kutoka WASAFI....mashabiki wengi wa WCB wana tabia za kike sana aisee.Angebaki na muonekano wake wa zamani ingekuwa poa sasa hiv anaonekana kama mgambo aliyotokea kijijini na kingine picha zake nyingi za sasa anazopiga utazani anatumia camera ya tochi.
Hovyoooo! ! Utafikiri wewe ulijiumba.Nasikia Mondi anapigwa picha mia angle tofauti hadi domo lake lisipoonekana kubwa ndio wanapost
pale wanaume wanao jadilia mambo ya mwanaume mwenzao [emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ni uke uke
Sent using Jamii Forums mobile app
mpuuz tu japo ni uamuz wake ila ananiudh utasukaje nywele kama dem anayeombwa?? Sio nywele tu adi na mahereni kama gasho alaf linajionq lipo sawa au mwenzetu Chuya nn???
Inashangaza sana kuona picha nzuri ka hii inakosolewa na baadhi ya watu. Kila anaeiona anasema "Huyu kweli Mmakonde sa ndo msuko gani wa kike" wanadai kuwa hajapendeza na msuko huo.
Mim najaribu kuwauliza vipi kama Mondi akisuka hivyo watakosoa wanavyokosoa hii? Au ni chuki tu baada ya kutoka WCB?.
Wadau mnaonaje picha na muonekano huu wa Mzee Konde?
Mimi namshauri kulingana na maoni ya wadau bora abadili style ya nywele zake tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Akikua ataacha tuu hayo mambo ya kikeMuacheni aishi atakavyo