Picha ya kufungia mwaka hii hapa

Picha ya kufungia mwaka hii hapa

Huyo Afande namfahamu nilishawahi muonaga huko Kilolo nilipoenda kwenye shamba langu la miti. Ni afande ambaye yuko peace sana ndio maana kapiga picha na Sugu.
 
Hivi kwa mwonekano huu sugu akiwa faragha tumbo na kifua ni kama puto kubwa wakati miguu ni kama sindano!
Aiseeee, nimecheka sana. Jongwe ni Giant sana ukimuona physically. Sisi watu wa Mbeya tunajua jinsi alivyo huyo Jongwe. Amekaa kama watu wa Nyanda za Juu kusini tulivyo.
 
Kura haziamui nani ashinde.


Japo SIIPENDI CCM, ila hata kwa wizi, fujo, mauaji, fitina na hadaa bado CCM wataendelea kuwa viongozi kwa miaka mingi ijayo.

Mkitegemea mtaingia madarakani kwa kutegemea sanduku la kura sijui katiba mpya ooh mara tume huru ya uchaguzi SAHAUNI KUSHIKA HATAMU YA UONGOZI TAIFA HILI.

N.B VYama vyote vya upinzani ni mali ya CCM, ingawa kuna baadhi ya wapinzani wasio viongozi wakuu wa hivyo vyama wao ni WAPINZANI wa kweli.
Haifahamiki unaongelea nini
 
Back
Top Bottom