Roboti Wa Nape
JF-Expert Member
- Nov 20, 2023
- 1,174
- 2,876
Huo mdomo wako kwenye avatar ndio unasababisha usizione picha kwani unakuzuia usioni picha.Mbona kwangu picha hazifunguki?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo mdomo wako kwenye avatar ndio unasababisha usizione picha kwani unakuzuia usioni picha.Mbona kwangu picha hazifunguki?
Aiseeee, nimecheka sana. Jongwe ni Giant sana ukimuona physically. Sisi watu wa Mbeya tunajua jinsi alivyo huyo Jongwe. Amekaa kama watu wa Nyanda za Juu kusini tulivyo.Hivi kwa mwonekano huu sugu akiwa faragha tumbo na kifua ni kama puto kubwa wakati miguu ni kama sindano!
Ukila na kipofu usimshike mkonoMmmh! Hii ni ndoto kama ndoto nyingine tu
Haifahamiki unaongelea niniKura haziamui nani ashinde.
Japo SIIPENDI CCM, ila hata kwa wizi, fujo, mauaji, fitina na hadaa bado CCM wataendelea kuwa viongozi kwa miaka mingi ijayo.
Mkitegemea mtaingia madarakani kwa kutegemea sanduku la kura sijui katiba mpya ooh mara tume huru ya uchaguzi SAHAUNI KUSHIKA HATAMU YA UONGOZI TAIFA HILI.
N.B VYama vyote vya upinzani ni mali ya CCM, ingawa kuna baadhi ya wapinzani wasio viongozi wakuu wa hivyo vyama wao ni WAPINZANI wa kweli.
PoleMbona kwangu picha hazifunguki?
Natamani iwe hivyo ila kuhalisia haiwezekani.2025 tunachukua nchi pipoooz
Unajua kusoma na kuelewa kiswahili?wapi tulifanya vurugu ?
Jamaa ni andunje aisee!
Huyu hapa ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema , akiwa na Askari baada ya kumaliza Mkutano wa Hadhara kwenye Jimbo la Kilolo, Mkoani Iringa.
Toa maoni yako.
Usidharau watu wafupi , ndio waliogundua NgaziJamaa ni andunje aisee!
Karibu sanammgh