Picha ya Lemutuz yauzwa kwa mnada wa sh mil 7

Picha ya Lemutuz yauzwa kwa mnada wa sh mil 7

Chama cha Lembebezz Akili kubwa Instagram (LAKI) leo kimejikuta katika vita kubwa ya hela baada ya kugombania kununua picha ya King of all social media bongo,vita hiyo ilianza baada ya king huyo kupost picha yake aliyopiga miaka ya sitini mwanzoni akiwa sekondari huku ikiandamana na maneno matamu ambayo iliwaacha watoto hao wamelowa tepetepe. Baada tu ya kupost picha hiyo Lembebezz mmoja alisema yuko tayari kununua picha hiyo kwa mil 3 aiweke chumbani kwake ili kabla ya kulala awe anapata supa kiss kila siku ambapo mwingine alijitokeza na kusema yuko tayari kutoa mil 4 kabla ya mwingine kusema yeye atatoa mil 7.LAKI wamesema wako tayari kufanya lolote ili kuweza kumiliki picha hiyo ambayo king amedai kipindi hicho Lembebezz walikuwa wanamuangukia.Picha hiyo iliozua tafrani ni kama inavyoonekana hapa chini.
12976175_247266062292550_1434210264_n.jpg

lemutuz_nationNGOJA TUPUNGUZIANE STRESS ..........KUNA WATU WANAKUWA POA UKUBWANI BAADA YA KUWA NA PESA na kuhamia mjini mimi ni born hapa hapa Downtown Ocean Road hahahahah NILIKUWA POA Loong time ago HAHAHA hapa Form Two Kwiro Secondary School hahahaha wabebezzz walikuwaga wananidondokea wenyewe U know .....wanalewa na Le Machozzz na Super Lips hahaha U know ... hahahah au kuna mwenye problemzzz hukooozzz? Hahahahahah LE MBEBEZ Hahahah U know! - le Mutuz Nation



Iyo miaka kabla ya Uhuru wa Tanzania
 
Ina maana hili jamaa zeee miaka ya sitini yuko kama mm sasa hivi.. Harafu bado lina mambo ya kitotooo..
 
Yeah yeah...FMES (Field Marshal Emergency System) na pia Mzee ES.

Any other question?

That's ma nigga for real. Self made soon to be billionaire.

Any other question...

Buh Sorry.. i like when said that's your nigga for real

Your niggah doesn't have any mental illness?...

Is this thing right for a big uncle like him?
have ever advice him in any way?

It's not compulsory to answer all bro!
 
Any other question...

Buh Sorry.. i like when said that's your nigga for real

Your niggah doesn't have any mental illness?...

Is this thing right for a big uncle like him?
have ever advice him in any way?

It's not compulsory to answer all bro!

Ma nigga is all there. He knows what he is doing.

But y'all keep laughing at him like he's clueless or something.

It's all gravy though. Y'all keep laughing at him while he watches his money pile up.
 
Ma nigga is all there. He knows what he is doing.

But y'all keep laughing at him like he's clueless or something.

It's all gravy though. Y'all keep laughing at him while he watches his money pile up.
For money that's sounds good ain't got no worries about that

we all looking for money but what kind of money buy saying that my lips are better, hanging with small girl while your father to them...what kind of money?

Your nigga is hilarious but we should enjoy this creature...
 
Back
Top Bottom