Picha ya Leoooo!

Picha ya Leoooo!

Huyo mzee kwenye kupigilia pamba huwa hakosei
dba65bddb824753f036c88a70c5c6ce7.jpg





hqhaahahhahahaha jaman hapa imebidi niangue cheko hahahahhaa kuna watu ahwana damu ya nguo jaman jamn hahahahha VIVA LOWASAAAAAAAAA! huyo mwingne angalia mikonon ilivyomkaa ahahahhah! na 1 fan
 
Kwani we ni wa chatu enter village airport?
Hapana nilienda kuona chator international airport ndo nikapita madukani hili nimununulie baby wangu zote nikakuta oversize
 
hqhaahahhahahaha jaman hapa imebidi niangue cheko hahahahhaa kuna watu ahwana damu ya nguo jaman jamn hahahahha VIVA LOWASAAAAAAAAA! huyo mwingne angalia mikonon ilivyomkaa ahahahhah! na 1 fan
Hahahaha huyo mshamba sana alikuja mjini na mbio za mwenge
 
Huyo mzee kwenye kupigilia pamba huwa hakosei
dba65bddb824753f036c88a70c5c6ce7.jpg

Wewe jamaa wewe utapewa kesi ta uchochezi wewe
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Can't imagine wakati wa maakuli mana kila saa unanyanyua mkono juu ili ishuke chini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukipiga matonge matano mfululizo hatari sana
 
Back
Top Bottom