MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Ila hana chura (wowowo)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1.Hili la kuwa na mahusiano na Kennedy brothers ilikuwa kweli au ni uzushi?Marilyn Monroe alikuwa hyped!
Alijipatia umaarufu kwa kuwa na mahusiano na the Kennedy Brothers. Alimtungia John F. Kennedy kibao maarufu cha Happy Birthday Mr. President kisha kwenda kuimba siku ya kuzaliwa ya Rais Kennedy na hapo umaarufu wake ukapaa.
Ikumbukwe birthday party hiyo mke wa Kennedy hakuhudhuria kutokana na uhasama wake na Marilyn.
Aliyepanga mauaji ya Kennedy Brothers ndiye huyohuyo alishiriki kupanga mauaji ya Marilyn Monroe.
Hii iko wapi na nani aliijenga?Statue ya huyo mrembo wa zamaniView attachment 2219307View attachment 2219308
Yamekamata akili za weusi na weupe kwa wakati mmoja.Mabeberu Yanajifagilia Sana
Alitumika sexually au politically ?Alitumiwa na mamlaka ya nchi, literally.
"Alitumiwa" na Rais John F Kennedy pamoja na kaka yake Robert F Kennedy.
Wana pesa hawana pa kuzipeleka..kiufupi hawana njaa.Wazungu hutowaweza, utasikia sjui paka wa maiko jaksoni, sijui kitamba cha supastaa gani alilia akafutia machoz msiba wa mkewe, yaani ni mambo ya kiwaki waki kinoma.
Pesa za kuzimu hizo.. Hiyo minada ni ibada za kishetani na hizo pesa ni sadakaNew York,Marekani.
Picha ya mwanadada Marlyn Monroe iliyopigwa mnada hapo jana imevunja rekodi kwa kununuliwa kwa dola za kimarekani milioni 195($195 Mil) ambazo ni sawa na Shilingi Bilioni 450 za Kitanzania.
Picha hii pia imevunja rekodi ya kuwa ndio picha ya gharama zaidi kwa picha zilizochorwa katika karne ya 20.
Picha hii ilichorwa na mchoraji Andy Warhol mwaka 1964 ilinunuliwa na Bwana Lary Gagosian katika mnada ambao ulichukua chini ya dakika nne tu.
Marilyn Monroe alizaliwa June 1,1926 na alifariki August 4,1962 akiwa na miaka 36.
Je huyu dada alikuwa na kitu gani cha ziada kiasi cha picha yake kuuzwa ghali namna hii?
Kwa kadri nilivyomsoma inasemekana alikuwa mwigizaji,model na sex symbol(mtanisaidia hapa) na pia inasemekana aliwahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na Raisi John F Kennedy na ndugu yake Robert F Kennedy,Je kuna mengine unayajua kuhusu huyu mwanadada?.
Picha ya kwanza ndio iliyovunja rekodi.
Ahsante.View attachment 2218974View attachment 2218975View attachment 2218979View attachment 2218981
Hana la ziada ila jamii inayomhusudu ndio ina mpunga mrefu.New York,Marekani.
Picha ya mwanadada Marlyn Monroe iliyopigwa mnada hapo jana imevunja rekodi kwa kununuliwa kwa dola za kimarekani milioni 195($195 Mil) ambazo ni sawa na Shilingi Bilioni 450 za Kitanzania.
Picha hii pia imevunja rekodi ya kuwa ndio picha ya gharama zaidi kwa picha zilizochorwa katika karne ya 20.
Picha hii ilichorwa na mchoraji Andy Warhol mwaka 1964 ilinunuliwa na Bwana Lary Gagosian katika mnada ambao ulichukua chini ya dakika nne tu.
Marilyn Monroe alizaliwa June 1,1926 na alifariki August 4,1962 akiwa na miaka 36.
Je huyu dada alikuwa na kitu gani cha ziada kiasi cha picha yake kuuzwa ghali namna hii?
Kwa kadri nilivyomsoma inasemekana alikuwa mwigizaji,model na sex symbol(mtanisaidia hapa) na pia inasemekana aliwahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na Raisi John F Kennedy na ndugu yake Robert F Kennedy,Je kuna mengine unayajua kuhusu huyu mwanadada?.
Picha ya kwanza ndio iliyovunja rekodi.
Ahsante.View attachment 2218974View attachment 2218975View attachment 2218979View attachment 2218981
Hapo mwisho sio kweli...kenedy aliuliuwa na mob boss giancana na monroe aliuliwa na hao kina keneddiesMarilyn Monroe alikuwa hyped!
Alijipatia umaarufu kwa kuwa na mahusiano na the Kennedy Brothers. Alimtungia John F. Kennedy kibao maarufu cha Happy Birthday Mr. President kisha kwenda kuimba siku ya kuzaliwa ya Rais Kennedy na hapo umaarufu wake ukapaa.
Ikumbukwe birthday party hiyo mke wa Kennedy hakuhudhuria kutokana na uhasama wake na Marilyn.
Aliyepanga mauaji ya Kennedy Brothers ndiye huyohuyo alishiriki kupanga mauaji ya Marilyn Monroe.
Nawe unaamini hawana njaa, unaamini hakuna maskini huko, hakuna ombaomba!? Ni upunguwani tu, kuna watu wanashida huko kedekede.Wana pesa hawana pa kuzipeleka..kiufupi hawana njaa.
#MaendeleoHayanaChama
Minada wanakuza tu jambo ili wapige hela[emoji28]kwanini inasema hivyo?