Picha ya Marlyn Monroe yavunja rekodi, yauzwa kwa Bilioni 450. Je, huyu mwanadada alikuwa na kipi cha ziada?

Picha ya Marlyn Monroe yavunja rekodi, yauzwa kwa Bilioni 450. Je, huyu mwanadada alikuwa na kipi cha ziada?

Marilyn Monroe alikuwa hyped!

Alijipatia umaarufu kwa kuwa na mahusiano na the Kennedy Brothers. Alimtungia John F. Kennedy kibao maarufu cha Happy Birthday Mr. President kisha kwenda kuimba siku ya kuzaliwa ya Rais Kennedy na hapo umaarufu wake ukapaa.

Ikumbukwe birthday party hiyo mke wa Kennedy hakuhudhuria kutokana na uhasama wake na Marilyn.

Aliyepanga mauaji ya Kennedy Brothers ndiye huyohuyo alishiriki kupanga mauaji ya Marilyn Monroe.
1.Hili la kuwa na mahusiano na Kennedy brothers ilikuwa kweli au ni uzushi?

2.Je alikuwa mwimbaji pia?

3.Kwanini unadhani aliyepanga njama za mauaji ya Kennedy brothers ndie huyohuyo aliyemuua Marlyn, alikuwa na sababu gani?
 
Wazungu hutowaweza, utasikia sjui paka wa maiko jaksoni, sijui kitamba cha supastaa gani alilia akafutia machoz msiba wa mkewe, yaani ni mambo ya kiwaki waki kinoma.
Wana pesa hawana pa kuzipeleka..kiufupi hawana njaa.

#MaendeleoHayanaChama
 
New York,Marekani.

Picha ya mwanadada Marlyn Monroe iliyopigwa mnada hapo jana imevunja rekodi kwa kununuliwa kwa dola za kimarekani milioni 195($195 Mil) ambazo ni sawa na Shilingi Bilioni 450 za Kitanzania.

Picha hii pia imevunja rekodi ya kuwa ndio picha ya gharama zaidi kwa picha zilizochorwa katika karne ya 20.

Picha hii ilichorwa na mchoraji Andy Warhol mwaka 1964 ilinunuliwa na Bwana Lary Gagosian katika mnada ambao ulichukua chini ya dakika nne tu.

Marilyn Monroe alizaliwa June 1,1926 na alifariki August 4,1962 akiwa na miaka 36.

Je huyu dada alikuwa na kitu gani cha ziada kiasi cha picha yake kuuzwa ghali namna hii?

Kwa kadri nilivyomsoma inasemekana alikuwa mwigizaji,model na sex symbol(mtanisaidia hapa) na pia inasemekana aliwahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na Raisi John F Kennedy na ndugu yake Robert F Kennedy,Je kuna mengine unayajua kuhusu huyu mwanadada?.

Picha ya kwanza ndio iliyovunja rekodi.

Ahsante.View attachment 2218974View attachment 2218975View attachment 2218979View attachment 2218981
Pesa za kuzimu hizo.. Hiyo minada ni ibada za kishetani na hizo pesa ni sadaka
 
New York,Marekani.

Picha ya mwanadada Marlyn Monroe iliyopigwa mnada hapo jana imevunja rekodi kwa kununuliwa kwa dola za kimarekani milioni 195($195 Mil) ambazo ni sawa na Shilingi Bilioni 450 za Kitanzania.

Picha hii pia imevunja rekodi ya kuwa ndio picha ya gharama zaidi kwa picha zilizochorwa katika karne ya 20.

Picha hii ilichorwa na mchoraji Andy Warhol mwaka 1964 ilinunuliwa na Bwana Lary Gagosian katika mnada ambao ulichukua chini ya dakika nne tu.

Marilyn Monroe alizaliwa June 1,1926 na alifariki August 4,1962 akiwa na miaka 36.

Je huyu dada alikuwa na kitu gani cha ziada kiasi cha picha yake kuuzwa ghali namna hii?

Kwa kadri nilivyomsoma inasemekana alikuwa mwigizaji,model na sex symbol(mtanisaidia hapa) na pia inasemekana aliwahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na Raisi John F Kennedy na ndugu yake Robert F Kennedy,Je kuna mengine unayajua kuhusu huyu mwanadada?.

Picha ya kwanza ndio iliyovunja rekodi.

Ahsante.View attachment 2218974View attachment 2218975View attachment 2218979View attachment 2218981
Hana la ziada ila jamii inayomhusudu ndio ina mpunga mrefu.
Kina kim etc.
Ndio watu wanaofuata nyayo zake
 
Unamjua sam Giancanna au santo trafficante? Watu wanaua adi rais...na huyo marryline yupo hapo
 
Marilyn Monroe alikuwa hyped!

Alijipatia umaarufu kwa kuwa na mahusiano na the Kennedy Brothers. Alimtungia John F. Kennedy kibao maarufu cha Happy Birthday Mr. President kisha kwenda kuimba siku ya kuzaliwa ya Rais Kennedy na hapo umaarufu wake ukapaa.

Ikumbukwe birthday party hiyo mke wa Kennedy hakuhudhuria kutokana na uhasama wake na Marilyn.

Aliyepanga mauaji ya Kennedy Brothers ndiye huyohuyo alishiriki kupanga mauaji ya Marilyn Monroe.
Hapo mwisho sio kweli...kenedy aliuliuwa na mob boss giancana na monroe aliuliwa na hao kina keneddies
 
Hana la ziada ila jamii inayomhusudu ndio ina mpunga mrefu.
Kina kim etc.
Ndio watu wanaofuata nyayo zake
Aisee,sio mbaya lakini maana wamesema pesa iliyopatikana itaenda kusaidia jamii
 
Back
Top Bottom