Pre GE2025 Picha ya Mbowe ni miongoni mwa picha zilizopo kwenye mabango ya CCM kuelekea Mkutano Mkuu

Pre GE2025 Picha ya Mbowe ni miongoni mwa picha zilizopo kwenye mabango ya CCM kuelekea Mkutano Mkuu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Christopher Wallace

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2015
Posts
1,479
Reaction score
3,788
“ Maendeleo hayana Chama “ by John Pombe Magufuli.

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, picha yake ni miongoni mwa picha zilizopo katika mabango ya CCM hapa Dodoma.

Hakika Mbowe anapendwa mpaka na chama tawala. Hii ni kubwa sana
IMG_5035.jpeg
 

Attachments

  • 20250117_195123.jpg
    20250117_195123.jpg
    111.9 KB · Views: 2
Bado nawaza sana kama kweli Harakati za TAL za kuandamana kudai katiba mpya kama itafanikiwa kwa hawa watanzania wamitandaoni
 
Yeah they all said that, zimeifikisha wapi chama chake?
Kutoka kufungiwa kufanya mikutano ya kisiasa na sasa Chama kipo huru kufanya mikutano yake

Kusaidia wakimbizi wa kisiasa kurudi nchini pamoja na wafungwa zaidi ya 4K
 
Back
Top Bottom