Pre GE2025 Picha ya Mbowe ni miongoni mwa picha zilizopo kwenye mabango ya CCM kuelekea Mkutano Mkuu

Pre GE2025 Picha ya Mbowe ni miongoni mwa picha zilizopo kwenye mabango ya CCM kuelekea Mkutano Mkuu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mbowe ni mwizi wa pesa za chadema zote sasa anaomba msaada na kutumia pesa alizoiba chadema kuununua uenyekiti kwa kuunda kamati ya Roho mbaya chini ya uongozi wa Mdee, Boniface, wenje, sugu, wale wabunge haramu 19 na wenzao , kuzitakatisha pesa alizoiba gharama mbalimbali zikiwemo za kukodi chopa na pia kujidai anakidai chama madeni hewa,
 
Wenje sio dalali ni kijana mzuri tu kama Abdul
Wenje ombaomba Dalali
Mbowe mwizi na mzee wa masimango
Sasa hawa wazee wa hovyo eti wanataka kuongoza chama? Chadema itakuwa Band ya Taarabu mipasho majungu fitna , wahuni wawili mbowe na Wenje ni muunganiko wa hovyo kupata kutokea Duniani kote
 
Mbowe ni mwizi wa pesa za chadema zote sasa anaomba msaada na kutumia pesa alizoiba chadema kuununua uenyekiti kwa kuunda kamati ya Roho mbaya chini ya uongozi wa Mdee, Boniface, wenje, sugu, wale wabunge haramu 19 na wenzao , kuzitakatisha pesa alizoiba gharama mbalimbali zikiwemo za kukodi chopa na pia kujidai anakidai chama madeni hewa,
Mkuu,weka ushahidi ili tumtukane vizuri
 
Kweli Mpaka hawa manabiii uchwara wanaina Mbowe anahitaji msaada na maombi ni ajabu.
 
Kutoka kufungiwa kufanya mikutano ya kisiasa na sasa Chama kipo huru kufanya mikutano yake

Kusaidia wakimbizi wa kisiasa kurudi nchini pamoja na wafungwa zaidi ya 4K
Mikutano sio hisani ni takwa la kisheria. Kwani ukiwa mkimbizi huruhusiwi kurudi nchini ukitaka?
 
Mkuu,weka ushahidi ili tumtukane vizuri
Ushahidi kasema mwenyewe kuwa chadema hawana pesa na ikumbukwe idara ya pesa anayo Mbowe mwenyewe yeye ndiyo mhasibu pekee hataki yeyote asogelee idara ya pesa hata katibu mkuu john mnyika hana mamlaka juu ya pesa za chama, Mbowe hujichotea pesa za chama atakavyo ndiyo maana hutengeneza madeni hewa ili ajilipe pesa za chama na inakuwa kazitakatisha kwa njia rahisi kabsa , Mbowe ni mwizi kama wezi wengine ndiyo maana Mbowe anaogopa kuachia uenyekiti akihofia mwenyekiti mpya atampeleka jela kwa ufisadi wa pesa za chadema
 
Huku Ombaomba Dalali wenje na huku mbowe mwizi, mpenda Rushwa ya ngono viti maalum na mzee wa Masimango, unategemea nini? ni Hatari kubwa chana kuongozwa kihuni na wahuni wawili wenye mambo ya hovyo sana
 
Kwamba kuenguliwa kwa wagombea wa CHADEMA nchi nzima ni maridhiano ya Mbowe na mama? Au sijaelewa.
 
Back
Top Bottom