Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
Makamu mwenyekiti ajaye?“ Maendeleo hayana Chama “ by John Pombe Magufuli.
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, picha yake ni miongoni mwa picha zilizopo katika mabango ya CCM hapa Dodoma.
Hakika Mbowe anapendwa mpaka na chama tawala. Hii ni kubwa sanaView attachment 3204651
Yeah they all said that, zimeifikisha wapi chama chake?Ana busara
“ Maendeleo hayana Chama “ by John Pombe Magufuli.
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, picha yake ni miongoni mwa picha zilizopo katika mabango ya CCM hapa Dodoma.
Hakika Mbowe anapendwa mpaka na chama tawala. Hii ni kubwa sanaView attachment 3204651
Kutoka kufungiwa kufanya mikutano ya kisiasa na sasa Chama kipo huru kufanya mikutano yakeYeah they all said that, zimeifikisha wapi chama chake?
Yes to Mbowe
Mbowe ni project ya serikali na CCM“ Maendeleo hayana Chama “ by John Pombe Magufuli.
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, picha yake ni miongoni mwa picha zilizopo katika mabango ya CCM hapa Dodoma.
Hakika Mbowe anapendwa mpaka na chama tawala. Hii ni kubwa sanaView attachment 3204651