Khanji kapoor
JF-Expert Member
- Oct 19, 2024
- 1,198
- 2,695
Haiwezi na haitaweza kufanikiwa..Lissu hawezi kusimamia jambo likafanikiwa! Ni kama chadema kimelemewa na mashambulizi ya shetani..Bado nawaza sana kama kweli Harakati za TAL za kuandamana kudai katiba mpya kama itafanikiwa kwa hawa watanzania wamitandaoni
Nimelipenda hilo tofali la nch 6 mbele ya bangoππβ Maendeleo hayana Chama β by John Pombe Magufuli.
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, picha yake ni miongoni mwa picha zilizopo katika mabango ya CCM hapa Dodoma.
Hakika Mbowe anapendwa mpaka na chama tawala. Hii ni kubwa sanaView attachment 3204651
CCM wana makusudi sana wanazidi chochea moto....β Maendeleo hayana Chama β by John Pombe Magufuli.
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, picha yake ni miongoni mwa picha zilizopo katika mabango ya CCM hapa Dodoma.
Hakika Mbowe anapendwa mpaka na chama tawala. Hii ni kubwa sanaView attachment 3204651
Acha kuvuta bangi hapo ghetto kwa Wenje Dalali kisha umejitoa fahamu zoteKutoka kufungiwa kufanya mikutano ya kisiasa na sasa Chama kipo huru kufanya mikutano yake
Kusaidia wakimbizi wa kisiasa kurudi nchini pamoja na wafungwa zaidi ya 4K
hata lissu ana busaraMbowe ana busara sana
Mbowe tapeli, na wanachama wasipostuka mapema chama chao kitakuwa kama UDP,TLT au CUFKutoka kufungiwa kufanya mikutano ya kisiasa na sasa Chama kipo huru kufanya mikutano yake
Kusaidia wakimbizi wa kisiasa kurudi nchini pamoja na wafungwa zaidi ya 4K
Sijawahi kuona hata kamati kuu ya chadema ikipingana na Mbowe baadhi ya mambo. Yaweza kuwa wote ni projectMbowe ni project ya serikali na CCM
π€£ π€£ π€£Naogopa kuchangia maana pesa ya kulipa mwanasheria mimi sina..........
π€ π€ π€Sijawahi kuona hata kamati kuu ya chadema ikipingana na Mbowe baadhi ya mambo. Yaweza kuwa wote ni project
Mbowe ni ccm, Mbowe sasa kujulikana mambo yake yote ya siri na kibaya ni kumkumbatia Dalali wenje zezeta na mbumbu wa kutupwaAyatollah khemenei kaguta nkurunzinza mbowe ππππ
NCCR, DP,CCKMbowe tapeli, na wanachama wasipostuka mapema chama chao kitakuwa kama UDP,TLT au CUF
Kumchagua Mbowe tena ni kuifanya Chadema kuwa kigango cha CCMβ Maendeleo hayana Chama β by John Pombe Magufuli.
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, picha yake ni miongoni mwa picha zilizopo katika mabango ya CCM hapa Dodoma.
Hakika Mbowe anapendwa mpaka na chama tawala. Hii ni kubwa sanaView attachment 3204651
ILa ndugu zetu hawa wana Hila...yani wanajua kuchochea kuni ili moto uwake zaidiβ Maendeleo hayana Chama β by John Pombe Magufuli.
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, picha yake ni miongoni mwa picha zilizopo katika mabango ya CCM hapa Dodoma.
Hakika Mbowe anapendwa mpaka na chama tawala. Hii ni kubwa sanaView attachment 3204651
Na nusu mkuuHata Mimi nilishangaa, yaan Democrats wawe Kwa mkutano wao, alafu wamuote TRUMP wampe Tuzoπ€£π€£
Makengeza ni Tapeli tu