KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
MBOWE ni kada mtiifu“ Maendeleo hayana Chama “ by John Pombe Magufuli.
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, picha yake ni miongoni mwa picha zilizopo katika mabango ya CCM hapa Dodoma.
Hakika Mbowe anapendwa mpaka na chama tawala. Hii ni kubwa sanaView attachment 3204651
Acheni uongo hiki Chama hakimtegemei mtu mmojaMbowe tapeli, na wanachama wasipostuka mapema chama chao kitakuwa kama UDP,TLT au CUF
Wenje sio dalali ni kijana mzuri tu kama AbdulAcha kuvuta bangi hapo ghetto kwa Wenje Dalali kisha umejitoa fahamu zote
Daaah!Mbowe ana busara sana
Maneno mazito hayaSijawahi kuona hata kamati kuu ya chadema ikipingana na Mbowe baadhi ya mambo. Yaweza kuwa wote ni project
Wenje ombaomba DalaliWenje sio dalali ni kijana mzuri tu kama Abdul
Mkuu,weka ushahidi ili tumtukane vizuriMbowe ni mwizi wa pesa za chadema zote sasa anaomba msaada na kutumia pesa alizoiba chadema kuununua uenyekiti kwa kuunda kamati ya Roho mbaya chini ya uongozi wa Mdee, Boniface, wenje, sugu, wale wabunge haramu 19 na wenzao , kuzitakatisha pesa alizoiba gharama mbalimbali zikiwemo za kukodi chopa na pia kujidai anakidai chama madeni hewa,
Mbowe ni mwizi wa hazina ya chadema hayo maridhiano ya ccm na mwizi wa pesa za chadema si maridhiano ya hakiHaina ubaya. Maridhiano muhimu
Mikutano sio hisani ni takwa la kisheria. Kwani ukiwa mkimbizi huruhusiwi kurudi nchini ukitaka?Kutoka kufungiwa kufanya mikutano ya kisiasa na sasa Chama kipo huru kufanya mikutano yake
Kusaidia wakimbizi wa kisiasa kurudi nchini pamoja na wafungwa zaidi ya 4K
Mlamba asali!Ana busara
Ushahidi kasema mwenyewe kuwa chadema hawana pesa na ikumbukwe idara ya pesa anayo Mbowe mwenyewe yeye ndiyo mhasibu pekee hataki yeyote asogelee idara ya pesa hata katibu mkuu john mnyika hana mamlaka juu ya pesa za chama, Mbowe hujichotea pesa za chama atakavyo ndiyo maana hutengeneza madeni hewa ili ajilipe pesa za chama na inakuwa kazitakatisha kwa njia rahisi kabsa , Mbowe ni mwizi kama wezi wengine ndiyo maana Mbowe anaogopa kuachia uenyekiti akihofia mwenyekiti mpya atampeleka jela kwa ufisadi wa pesa za chademaMkuu,weka ushahidi ili tumtukane vizuri
Mwizi uende nae wapi?Kwa heshima na amani yetu twende na Mbowe
Muda si mrefu neno busara litabadilishwa maana yakeAna busara