Picha ya mmiliki wa home shopping center


Every bad thing you do comes back to you, killing ain't fair but somebody got to do it - Tupac Shakur
 
.....pole sana Said...Mungu akusaidie upone upesi tujue ukweli wa hili jambo.........
 
What goes around comes around. Wabongo wamechoka kupeleka kesi polisi ni umafia tu... if you do me, i do you.
 
Ila kusema kweli nchi hii hatuna serikali. Hivi serikali inashindwa kudeal na wahalifu kama hawa? Hivi kupambana na CDM wanaoandamana na kufanya shughuli zao kwa amani ndio kazi ya serikali na vyombo vya usalama?
Hivi Rais Kikwete hajui hawa wahalifu, huu si ndio mtandao wake na wafadhili wake? Ndio maana wanapambana na CDM na kuzushia udini na ukabila vyama vinavyokuwa tishio kwao kwasabau wanaogopa kuibuliwa maovu yao? Said, Rostam, Manji? Hutakuta Ridhiwani anahusika na biashara zao hizo? Oh my God. Ndio maana JK majina ya wauza madawa ya kulevya anajua na anatamka hadharani lakini hatangazi waliofikishw mahakamani. Hivi Tukirudi kwenye nyara za serikali hapo si tunamkutapo yule katibu jangili. Maweeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!! Tumekweisha!
Pole kwa kumwagiwa tindikali ila kama kweli we ni muovu kiasi hicho Mungu akusamehe pia ubadilike.
 
huyo alistahili akirudi akaendelea na zake watammaliza kabisa
 
Hii inatisha! Hivi mtu unawezaje kumfanyia mwanadamu mwenzako kitendo kama hiki?

mbona yeye aliwafanyia wenzake hivyohivyo. Si vizuri kumwambea mtu mabaya wanajamvi mtanisamehe ila wacha akome
 
mbona yeye aliwafanyia wenzake hivyohivyo. Si vizuri kumwambea mtu mabaya wanajamvi mtanisamehe ila wacha akome

Bakeza kama ulikuwa akilini mwangu vile.. muosha huoshwa! duu?? yaani yaliyo orodheshwa yote kama aliyafanya kweli he really deserve it!
 
Hii inatisha! Hivi mtu unawezaje kumfanyia mwanadamu mwenzako kitendo kama hiki?
Na eana tuhuma za kuwaingilia kinyume na maumbile wafanyabiashara wapinzani wenzake kama ni kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…