Allien
JF-Expert Member
- Jul 6, 2008
- 5,546
- 1,861
Moderator;
Kwanza naomba muongozo kama kuweka picha ya jinsia mbili inakubalika. Kama inakubalika tafadhali nijulishe niweze kuipost.
(Baada ya go ahead kutolewa):
Lengo la kuweka picha hii kama itakubalika ni kufanya wasioamini kuwa kuna watu wenye jinsia mbili waamini.
Baada ya hayo sasa napenda kupata majibu kutoka kwa Doctor wa JF. Nina jamaa yangiu wa karibu ambaye ana mtoto mwenye Jinsia mbili na ilibidi apelekwe South Africa, ili kumuondoa Jinsia moja abaki na moja ingawa sijui ni ipi.
Pia niliwahi kusoma katika Gazeti kuwa kuna Dada moja huko Temeke alimtia mimba binti fulani huko huko temeke na kisha akatoroka. Wanaomfahamu yule mtia mimba toka akiwa kidogo, walikuja kushuhudia kuwa Dada huyo alikuwa na Jinsia mbili.
Sasa maswali magumu:
- Je mtu kuzaliwa na Jinsia Mbili inasababishwa na nini?
- Kisheria binadamu anatakiwa awe wa kike au wa kiume, je huyo katika cheti cha kuzaliwa au cha ndoa atakuwa na jinsia gani?
- Je jinsia hii inaweza kujitosheleza kimapenzi?- Je, kama anaweza akaondolewa jinsia moja, hii inafanyika vipi kwa lugha nyepesi.
- Je mwenendo na tabia yake inakuwa ya kike au ya kiume?
- Je kuna chances gani kwa mtoto wa namna hiyo kuzaliwa na ni katika mazingira gani.
- Nini maoni ya kitaalamu kwa wanajamii kwa watoto au watu wa jinsia hii?
Kwanza naomba muongozo kama kuweka picha ya jinsia mbili inakubalika. Kama inakubalika tafadhali nijulishe niweze kuipost.
(Baada ya go ahead kutolewa):
Lengo la kuweka picha hii kama itakubalika ni kufanya wasioamini kuwa kuna watu wenye jinsia mbili waamini.
Baada ya hayo sasa napenda kupata majibu kutoka kwa Doctor wa JF. Nina jamaa yangiu wa karibu ambaye ana mtoto mwenye Jinsia mbili na ilibidi apelekwe South Africa, ili kumuondoa Jinsia moja abaki na moja ingawa sijui ni ipi.
Pia niliwahi kusoma katika Gazeti kuwa kuna Dada moja huko Temeke alimtia mimba binti fulani huko huko temeke na kisha akatoroka. Wanaomfahamu yule mtia mimba toka akiwa kidogo, walikuja kushuhudia kuwa Dada huyo alikuwa na Jinsia mbili.
Sasa maswali magumu:
- Je mtu kuzaliwa na Jinsia Mbili inasababishwa na nini?
- Kisheria binadamu anatakiwa awe wa kike au wa kiume, je huyo katika cheti cha kuzaliwa au cha ndoa atakuwa na jinsia gani?
- Je jinsia hii inaweza kujitosheleza kimapenzi?- Je, kama anaweza akaondolewa jinsia moja, hii inafanyika vipi kwa lugha nyepesi.
- Je mwenendo na tabia yake inakuwa ya kike au ya kiume?
- Je kuna chances gani kwa mtoto wa namna hiyo kuzaliwa na ni katika mazingira gani.
- Nini maoni ya kitaalamu kwa wanajamii kwa watoto au watu wa jinsia hii?
Attachments
Last edited: