Picha ya Mtu Mwenye Jinsia ya Kike na Kiume: Maswali Magumu kwa JF Doctor

Picha ya Mtu Mwenye Jinsia ya Kike na Kiume: Maswali Magumu kwa JF Doctor

..Mkuu Pasco, umenifurahisha na hii habari ya kuvuta critoris kwa wahaya ingawa mimi nimekutana na akina dada wawili watatu wa kihaya sikubahatika kuona hiyo kitu sasa sijui kwa kuwa wamezaliwa na kukulia mjini au vipi but i wish siku moja ningekumbana na wa aina hiyo ingekuwa burudani sana kwangu!!!! teh! teh!!teh tehhhh!!

Duh!....mzee unakeep records!
 
Anaangaliwa huyo mtu mwenye Jinsia mbili Tabia yake au mpaka afike miaka 15 itajulikana kuwa yeye ni mwanamke au ni Mwanamme Tabia yake na atapimwa kwa Wataalamu na kujulikana ni kuwa upi Kati ya Uume wake au uchi wake unaofanya kazi. Ndio hapa hukumu itatolewa kuwa yeye ni mwaname au Mwanamke Na pia Swali hilo Fikisha kwa Ndugu zetu Masheikh wa Kiislam Watakusaidia sana asanteni.
 
..Mkuu Pasco, umenifurahisha na hii habari ya kuvuta critoris kwa wahaya ingawa mimi nimekutana na akina dada wawili watatu wa kihaya sikubahatika kuona hiyo kitu sasa sijui kwa kuwa wamezaliwa na kukulia mjini au vipi but i wish siku moja ningekumbana na wa aina hiyo ingekuwa burudani sana kwangu!!!! teh! teh!!teh tehhhh!!

Kuvuta cristoris inajumuisha makabila kama vile Wahaya, Waha, Warundi.
hii iliwasaidia sana hasa katika zoezi zima la ndoa. Sasa hivi nadhani vijana wa sasa wahayajui hayo kwa vile wanakulia mijini.
 
Kuvuta cristoris inajumuisha makabila kama vile Wahaya, Waha, Warundi.

hii iliwasaidia sana hasa katika zoezi zima la ndoa. Sasa hivi nadhani vijana wa sasa wahayajui hayo kwa vile wanakulia mijini.

Hivi hii ina uhusiano wowote na agenda ya "Katerero"?
 
pasco,
you are misleading people by your generalization.
I dont mean to disagree with your experience about that Mhaya,but I what I have to say is that possibly that was the only one case which does not have to apply to the entire tribe.
It is not true that Wahaya wana tabia ya kukivuta.
Si kweli hata kidogo.But hiyo haimaanishi kuwa huyo wako kuwa hakukivuta.Possibly alikivuta,but this is not the Wahaya style.
 
pasco,
you are misleading people by your generalization.
I dont mean to disagree with your experience about that Mhaya,but I what I have to say is that possibly that was the only one case which does not have to apply to the entire tribe.
It is not true that Wahaya wana tabia ya kukivuta.
Si kweli hata kidogo.But hiyo haimaanishi kuwa huyo wako kuwa hakukivuta.Possibly alikivuta,but this is not the Wahaya style.

Du! My sonoooooh! Heey!
 
Mama, exquisite explanation! Almost exquisite.

Ila, unapoongelea matatizo ya enzyme release unaweza kuwa umerukia katika matokeo badala ya chanzo.

Ningependa kusisitiza gene mutation kuliko irregularities in enzyme release ambalo ni tokeo tu. Tatizo linaanza wakati wa fundamental genetic errors wakati wa daughter cell formation - mutation. Nadhani ulitakiwa useme kunakuwa na mutation katika sex chromoses. Halafu hiyo mutation ndio inasababisha enzyme mal-release.

Na pia, mutation sio ``mushkeli katika kujipanga``kwa chromosomes. Ila ni mabadiliko ya ovyo (random) katika chromosomes, yasiyohusiana na kujipanga.

Wapi Kuhani? Tunakumiss sana Mkuu wetu. Wewe na Putin na hoja zenu za nguvu? Mko wapi Jamani?
 
Kitaalamu hiyo hali inaitwa intersex/True-Hemaphroditism, ni somo pana, jaribu ku-google ili kupata ufahamu kwa kiwango unachotaka.
 
kawaida tatizo hili linasababishwa na genes.jinsi zinavyojigawa.na vipi utamjua kama huyu ni mwanamke au mwanamme kwa kuangalia ni ipi inafanya kazi.
 
Mi mbona naona hiyo picha kama ya kudesign mi namjua m2 mwenye jinsia mbili hazijakaa hivyo
 
Back
Top Bottom