ubongokid
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 2,154
- 4,184
Nimekaa nikatafakari nikajiuliza hivi aliyekamatwa na kuwekwa korokoroni kwa sababu ya kuchoma picha ya Rais ameonewa? Je, emetendewa haki?
Kisha nikajiuliza je, Rais kwa kuchomwa picha yake ameonewa? Ametendewa haki?
Kisha nikajiuliza je, kitendo cha kuchoma picha ya Rais ni sawa na kumchoma Rais? Ama siye tunaye Rais wa picha?
Kama tunaye Rais wa picha basi kuchoma picha ya Rais ni sawa na kumchoma Rais kwa sababu ni Rais wa picha.
Kwa ufupi sasa mahakama na mfumo wetu wa haki umethibitsha beyond reasonable doubts kwamba kuchoma picha ya Rais ni sawa na kumchoma moto rais.sawa kwa sisi ambao tunafikra kubwa sasa hivi tukikuta gazeti laina picha ya Rais tunajua nini cha kufanya maana tunajua huku alipo ataungua tu ndio maana inabidi sasa watu wapigwe marufuku kuchoma picha yake.
Kwa wanasheria mlioko huku mtusaidie tu kwamba ilikuwaje kuchoma picha ya Rais ikawa jinai tena ya kufungwa jela
Kisha nikajiuliza je, Rais kwa kuchomwa picha yake ameonewa? Ametendewa haki?
Kisha nikajiuliza je, kitendo cha kuchoma picha ya Rais ni sawa na kumchoma Rais? Ama siye tunaye Rais wa picha?
Kama tunaye Rais wa picha basi kuchoma picha ya Rais ni sawa na kumchoma Rais kwa sababu ni Rais wa picha.
Kwa ufupi sasa mahakama na mfumo wetu wa haki umethibitsha beyond reasonable doubts kwamba kuchoma picha ya Rais ni sawa na kumchoma moto rais.sawa kwa sisi ambao tunafikra kubwa sasa hivi tukikuta gazeti laina picha ya Rais tunajua nini cha kufanya maana tunajua huku alipo ataungua tu ndio maana inabidi sasa watu wapigwe marufuku kuchoma picha yake.
Kwa wanasheria mlioko huku mtusaidie tu kwamba ilikuwaje kuchoma picha ya Rais ikawa jinai tena ya kufungwa jela
🤔