Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Hiyo picha ya twiga ipo wapi? Rais n nembo ya taifakama twiga vile?
Sasa kuna ubaya gani kuchoma picha ya twiga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo picha ya twiga ipo wapi? Rais n nembo ya taifakama twiga vile?
Sasa kuna ubaya gani kuchoma picha ya twiga?
Kuna tofauti kubwa kati ya Rais na picha ya Rais. Hata hivyo nembo za Taifa ni kwa mujibu wa sheria lakini Rais siyo nembo ya Taifa.Hiyo picha ya twiga ipo wapi? Rais n nembo ya taifa
Sawa, nadhani kilichotokea mahakamani umekionaKuna tofauti kubwa kati ya Rais na picha ya Rais. Hata hivyo nembo za Taifa ni kwa mujibu wa sheria lakini Rais siyo nembo ya Taifa.
Ni mahakama gani hiyo?Sawa, nadhani kilichotokea mahakamani umekiona
Ya kimataifaNi mahakama gani hiyo?
Unafurahisha. Umenikumbusha ya mbunge wa zamani wa Igunga kuhusu mahakama na simu za michongo ...Ya kimataifa
Kiberiti cha TINGA TINGA kinahusikaHivi picha zote za Mkuu zilizotundikwa kwenye milingoti ya umeme nchi nzima huwa zinapelekwa wapi baada ya kwisha matumizi yake? Je zinahifadhiwa kwenye makumbusho ya taifa? Je zinazikwa kwa heshima zote au zinachomwa pia? 😳🤔
Hufungwi wala hutozwi Million 5 hata ukichoma Misimbazi yako hufungwi utaletewa zengwe tu kwamba km unazo nyingi na Sisi tugawie kidogo usizichome motokama twiga vile?
Sasa kuna ubaya gani kuchoma picha ya twiga?
Nmesema picha ya rais afu unauliza picha ya nani tena? Kwan picha ya rais uliyoichora getto kwako anaonekana nani kwenye hy picha!
Dogo ni mchoraji! Bila shaka picha (sanamu ile) aliichora mwenyewe. Tena kwa gharama. Lakini kadri muda ulivyozidi kwenda hakuona sababu za kuichora!Hivi yule kijana alichoma moto picha ya aina gani ya Rais?
Maana kwa akili yangu ya huku kijijini; picha ya Rais ni ile iliyotundukiwa kwenye majengo ya serikali na taasisi nyingine! Yaani ni ile picha rasmi katika hayo majengo! Na ikitokea nikaiondoa sehemu ilipotundikwa, na kwenda kuichoma moto; hapo nitakuwa nimefanya kosa la jinai.
Ila siyo hii picha ya kudowload, na kuamua kuichoma moto! Sidhani kama nitakuwa nimefanya kosa la kusababisha kupelekwa mahakamani na kuhukumiwa.
Hiyo video umeiona?Dogo ni mchoraji! Bila shaka picha (sanamu ile) aliichora mwenyewe. Tena kwa gharama. Lakini kadri muda ulivyozidi kwenda hakuona sababu za kuichora!
Kingine cha ajabu... Mbona kesi ile kesi iliendeshwa kwa haraka/dharura kiasi kile?
Lini lilipitishwa hili? Mkuu usiniabishe kuwa hata civics ya form two ilikupitia mbali. Picha ni nembo ya nchi?! Hakika tutafika tukiwa tumechoka sana kiakili🤔Picha ya rais pamoja na yeye mwenyewe rais ni nembo ya nchi
Wewe hujui twiga ni nembo ya taifa?Hiyo picha ya twiga ipo wapi? Rais n nembo ya taifa
Kwahiyo yale magazeti tunayofungiwaga mihogo na wengine kuchambia huwa tunachambia nembo ya nchi?Picha ya rais pamoja na yeye mwenyewe rais ni nembo ya nchi
... we can't be as lawless as the animals we evolved from and call ourselves humans!Bado tupo level ya chini kabisa ya viumbe, bado tuna'evolve'; tutakapofikia hatua ya juu ya viumbe nasi tutaelewa kwamba rais ni mtu tu, kama watu wengine. Na kwa kuwa ni kiongozi anao waongoza watakuwa na hisia mbalimbali juu yake. Wengine watatamani kabisa hata kumla mzima mzima wakipata nafasi ya kumfikia karibu. Sasa hawa kwa vile hawawezi kumfikia karibu, hasira zao zinapitia kwenye hayo ya kumchoma kwenye picha na anakufa kabisa, anapotea kwenye maisha yao!
Ni upumbavu kufunga watu jela kwa kumaliza hasira zao kwenye picha ya mtu wasiye mthamini maishani mwao.
fanya hvy hadharani utajua vzr, mana hata huyo jamaa angechoma ile picha akiwa getto kwake asingepata shida.Kwahiyo yale magazeti tunayofungiwaga mihogo na wengine kuchambia huwa tunachambia nembo ya nchi?