Pre GE2025 Picha ya Samia kwenye mitungi ya gesi ni ya nini? Haya ndio mambo CHADEMA wanapinga. Msimamizi wa vyama vya siasa yupo kama kipofu na kiziwi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kamwambie maza next time atoe mitungi mikubwa pamoja na majiko ya plate mbili. Halafu bei ya gesi ya mtungi mkubwa iwe 20,000 badala ya 55,000.
 
Huu ndo uthibitisho mwingine na dhahiri kuonyesha jinsi mfumo wa Kleptokrasia ulivyojikita kwenye mifumo yote iliyopo nchini.

Hata mwenye kiwanda cha maji aweza kupigiwa simu na kuamrishwa kuweka picha ya raisi ili kufanya kampeni ambayo hata muda wake rasmi haujafika.

Au mwenye kiwanda kwa kuwa ni Mali yake na mjumbe wa umoja wa wapigaji, aweza kuamuru mtambo wa uzalishaji uweke picha kama hiyo.

Kama nchi imefika katika hatua hii hili si JAMBO la kuendelea kulipuuzia.
 
Waweke pic
ha ya hyo bibi hata kwenye toilet paper
 
Kuzuia hisia gani na lebo zinawekqa kwa maelezo yake? umesahau kwamba hazijawekwa na wananchi hizo?
Mkuu,

Picha za SSH ni sababu nzuri ya pingamizi kwa chama cha ccm na SSH mwenyewe wakati wa uchaguzi ila sio sasa. Muda wa sasa ni wa kuhakikisha SSH anajua kuwa picha yake inatumika na akatae kuwa hajawatuma yeye hao walioiweka. Kulalamika sasa ni pre-mature na hata msajili wa vyama vya Siasa hahusiki.
 
Unanuswa nyuma wewe
 
Ukitekwa na kupotezwa tutailaumu serikali au kalamu yako ya uandishi. Mambo mengine muwe mnakaa kimya tu! Tuko ktk kipindi kigumu zaidi ya kipindi cha JPM.
Watu wa aina yako hawapaswi kuishi hata kwa dakika moja
 
Msimamizi wa vyama vya siasa naye ni chawa tu.
 
Wangekwangua tu au kubandika picha ya Tundu Lissu....
 
Ni hatari sana kumuhusisha Mungu. Aliyeinuliwa naye hatahitaji kutangazwa kwenye mitungi na mabango. Akina Mamajusi hawakuona mabango lakini ujumbe uliwafikia. Leta hoja asee au wewe ndiye mwenye tenda ya kubandika picha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…