Picha ya siku: Mbowe very attentive, nani alikuwa anahutubia na issue gani?

Duh Mbowe ananawiri tu kwa Kodi za Watanzania. Ona hao viongozi wenzake walivyopigika.
Huwa huwezi kuficha roho yako mbaya na umasikini uliojichora mwili mzima!Mbowe ana dhiki gani hata asingekuwa siasani kumlinganisha na wewe msakatonge?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…