ANCIENT FROM EGYPT
JF-Expert Member
- Oct 24, 2015
- 927
- 1,136
Huyu atakuwa mwalimu mstaafu 😅Bibi Teresia Andrea Ghuliku mwenye Umri wa miaka Sabini na Tatu (73), mkazi wa Kijiji cha Siuyu, kata ya Siuyu Mkoani Singida kwa Umakini akisikiliza na kuandika kwenye Daftari lake Hotuba Nzima ya Katibu Mkuu wa CCM Ndugu. Daniel Chongolo aliyoitoa leo Mkoani Singida.
Wanyiramba tunatisha aiseeeBibi Teresia Andrea Ghuliku mwenye Umri wa miaka Sabini na Tatu (73), mkazi wa Kijiji cha Siuyu, kata ya Siuyu Mkoani Singida kwa Umakini akisikiliza na kuandika kwenye Daftari lake Hotuba Nzima ya Katibu Mkuu wa CCM Ndugu. Daniel Chongolo aliyoitoa leo Mkoani Singida.
Bibi yangu huyoHuyu atakuwa mwalimu mstaafu 😅
We wa Siuyu?Bibi yangu huyo
Inategemeana unazeeka kuelekea wapi,Hivi ule msemo kuwa mtu anavyozidi kuzeeka na akili zinazidi kuwa kama za mtoto hivi ni kweli?
Au maneno tu?
Miye wa Iramba,kule bondeni wanakotolea samaki ziwani KitangiriWe wa Siuyu?
Mi home Puma hapo karibu na mission ya Sister MariaMiye wa Iramba,kule bondeni wanakotolea samaki ziwani Kitangiri
Hauko mbali kufikia level ya uzee mkuu...subiri tu utafikia na hautauliza tena.Hivi ule msemo kuwa mtu anavyozidi kuzeeka na akili zinazidi kuwa kama za mtoto hivi ni kweli?
Au maneno tu?