kwao hana hata mmoja ambae aliwahi kumiliki gari, hata bovu..."Mie siwezi kuolewa na mwanaume asiye na gari" (in Mwajuma's voice)
Hapo sio kabisa, jishushe na mtu aone dhamani yako, lakini eti jishushe yeye ndiyo apate fimbo ya kukuchapia,Hii ni kweli kabisa,mtu ajishushe kwa mapenzi yake mwenyewe ila sio ajishushe kwa mtu asiyemthamini maana hayo sio maisha kabisaaaaa.....
[emoji10][emoji10][emoji10] pole vumilia madam vivian, Mungu akufanyie wepesiWengine tunatamani kuachika, ndoa ngumu jaman
Used materialMmmh!wasio olewa mbona vifua vyao vingi vimepigwa pasi.
Ninaomba kumpokea huyo aliesababisha utamani kuachikaWengine tunatamani kuachika, ndoa ngumu jaman
Tembea uone au kuwa uyaone. Hata sasa wapo wanawake wanaowatolea mahari wanaume wawapendao japo huwa hawatoi direct hutoa indirect. Mwanamke anampa mwanaume hela anamuambia njoo nyumbani unitolee mahari.Kwa wasioelewa thamani yao watafanya hivyo,na watatoa kwa wanaume wasiojielewa pia
AseeePicha ya Wasichana kwenye "KONGAMANO LA WASIOOLEWA" lililoandaliwa na Mtumishi wa Mungu Colle Karyn, inaelezwa umri huwa ni miongoni mwa vitu vinavyowanyima usingizi na hupata wasiwasi wanapofikisha miaka 25 hawajaolewa.
Jambo jingine ambalo huwanyima usingizi Wasichana wengi ni maswali ya "unaolewa lini" kutoka kwenye Jamii zinazowazunguka. via BBC
View attachment 769257h
HahahaTembea uone au kuwa uyaone. Hata sasa wapo wanawake wanaowatolea mahari wanaume wawapendao japo huwa hawatoi direct hutoa indirect. Mwanamke anampa mwanaume hela anamuambia njoo nyumbani unitolee mahari.
Wakwangu sijampata bado