Nelson Mwombeki
JF-Expert Member
- May 2, 2018
- 2,933
- 3,397
Maskiiniiii wanatia hurumaaa [emoji37][emoji37][emoji37][emoji37][emoji37]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati wanaenda kuangalia km hao ma boy friend wao n sahihi ..jee na wao (nyie) wamejichunguza km wako sahihi .....acheni mambo ya shortcut wanawake ..mnataka kuolewa hakikisheni kwel MNA sifa za kuolewa na sio kwenda kwenye makongamo
Ha ha wamatutukana matusi tukiwasimamisha barabararani. Labda waume wanatoka mbinguni bhanaSi haba ni warembo hakika,..wakaka embu oeni jamani khaa hivi kwa mfano dadako yuko hapo unajisikiaje moyoni...oeni na nyie Dada zenu wapate neema ya kuolewa lol[emoji23][emoji23][emoji23]...
Aise [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Inabidi Makonda awaite ofisini 😛 😛 😛
Sasa akivaa pete si ndiyo hatapata kabisa wanajua kaolewa?Na wanavaa pete za ndoa hao mpka unaogopA!!!!!
why mkuuWarembo wa nje tu mkuu ila jaribu kuingia ndani utakutana na brake isiyo ya kawaida [emoji16][emoji16][emoji16]
Duu kwahiyo dar hakunaga wababa?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Waombe msaada mikoani.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] sasa inamaana ukiamka asubuhi tu unakutana na mtu eti nakupenda nakukubali hapo hapoNdio mnapoanzia kuchagua sio?...
Ndivyo ilivyo ni wanawake hawajaolewa mabinti wote huwekwa kapu moja ili wapate kujitambuaWengi hamjaelewa hilo kongamano. Hao wadada hapo sio tu ni wale ambao umri umeenda hawajaolewa. Wapo ambao ni wasichana wenye umri wa kawaida na wana boyfriends zao lkn wameenda hapo kumuomba Mungu awaonyeshe kama kweli aliye nae ni sahihi, na wapo pia wanaoomba wapate mume bora.
Sasa nyie mmeconclude kuwa wamekosa waume. Haipo hivyo!
Kaenda kujifunza neno na mausia ya mchungajiBaada ya kuangalia hiyo picha vizuri nimepata mshangao kumuona msichana ninayemfahamu.
Sikuamini macho yangu kwamba na yeye ana pressure ya kuolewa.
Wana under perform inasemekana lakini.Duu kwahiyo dar hakunaga wababa?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Kama kweli ni yeye. Najua ana u feminism sana.Kaenda kujifunza neno na mausia ya mchungaji
Kuolewa nayo bahati bwana wewe riziki ikifika anaolewa tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wangesema wasichana wasiooleka!!
Mtu ana miaka 35 yupo yupo tu.
Huyo haoleki