Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaa. Ule upande Best nakiri mie mchoyo kwa kweli sio siri best. TehTeh, Best kumbe wee mchoyo hivooo [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Picha ya Wasichana kwenye "KONGAMANO LA WASIOOLEWA" lililoandaliwa na Mtumishi wa Mungu Colle Karyn,
Kwani kule Eritrea ambako wanaume waliambiwa waoe wake wawili kutokana na idadi kubwa kufa katika vita na ethiopia, kanisa walisemaje? hutakiwi kuwa mtumwa wa sheria za kanisa, bali unatakiwa kuishi katika kusudi la Mungumakanisa ya kikristo yaangalie upya sheria,watu waweze kuoa wanawake angalau kuanzia 2
Hivi Vijana msiooa mkiongozwa na Ruge mbona mnawatesa hivi kina dada?
Siyo mpaka Makanisa yakae, wewe amua tu utajijua mbele ya safarimakanisa ya kikristo yaangalie upya sheria,watu waweze kuoa wanawake angalau kuanzia 2
Wakati wanaenda kuangalia km hao ma boy friend wao n sahihi ..jee na wao (nyie) wamejichunguza km wako sahihi .....acheni mambo ya shortcut wanawake ..mnataka kuolewa hakikisheni kwel MNA sifa za kuolewa na sio kwenda kwenye makongamoWengi hamjaelewa hilo kongamano. Hao wadada hapo sio tu ni wale ambao umri umeenda hawajaolewa. Wapo ambao ni wasichana wenye umri wa kawaida na wana boyfriends zao lkn wameenda hapo kumuomba Mungu awaonyeshe kama kweli aliye nae ni sahihi, na wapo pia wanaoomba wapate mume bora.
Sasa nyie mmeconclude kuwa wamekosa waume. Haipo hivyo!
Waifu matirio huwezi mkuta hapo mkuu!Linafanyika wapi aisee?nikacheze maeneo hayoo!
Mke wangu inawezekana yupo hapo!
Very good.Wakati wanaenda kuangalia km hao ma boy friend wao n sahihi ..jee na wao (nyie) wamejichunguza km wako sahihi .....acheni mambo ya shortcut wanawake ..mnataka kuolewa hakikisheni kwel MNA sifa za kuolewa na sio kwenda kwenye makongamo
Nafikiri hilo ndo tatizo linapelekea wao kutoolewa.Unakuta mtaani mashauzi kibaaaao then hapo analialia
Wengi wao wanaangaliavitu na sio mtu
Afu wanakumbana na vigezo vilivyowafanya wawepo hapo in the first place [emoji23][emoji23][emoji23]hao wawili wa kwanza (akiwemo huyo mwenye sketi ya njano) nauhakika ndani ya siku tatu watu lazima wapeleke posa