Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Haya bana.Haya kama umecheka naamini umefurahi, kuhusu hilo jambo kuuma hilo nalijua saaana ila ndio sehemu ya mitihani mlopewa na Allah ni lazima mjitahidi mfaulu na si vinginevyo.
Haya usiku mwema, msalimie shem mwambie aanze mikakati fasta ila awe mwangalifu na pia achunge haki zako
Amiin Insha Allah. [emoji120] [emoji120]