DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,382
- 29,639
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mi mtu akiniuliza unaolewa lini nami namuuliza unakufa lini
Iceman 3D
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mi mtu akiniuliza unaolewa lini nami namuuliza unakufa lini
Iceman 3D
Wahanga wengi jinsia ipi chief ?Hili kongamano inabidi lifanyike na humu jf, wahanga wapo humu wengi sana.
Hahaaa. Haya bana.nimeona tu kamdomo kake kamekaa kisharishari tu
Ni mambo ya kiutamaduni yanayorithiwa toka kizaz kimoja kwenda kinachofuata.Hivi sheria ya kutoa mahali Nani alituletea !!
Hahahaaaaa. Lol.Kwa vyovyote vile kwa uchoyo wako utakataa, sasa atakuuliza swali uchague moja kati ya haya mawili
A. Umruhusu amlete mwenza
Au
B.Awe na mchepuko (kumbuka mchepuko ni dhambi kuubwa kwa imani yako)
Haya lete jawabu bint hajar(jiwe).
Nataka nione leo kama mtu hajaingia mitini.
Hahaaaaa. Itakuwa hawajabahatika tu mi naona.Ila kimuonekano wanaonekana wazuri
Mmh. Jamaani.Midomo yao inaonesha uhalisia wa tabia zao
Wataolewa tu,hivi kuolewa ni bahati??Hahaaaaa. Itakuwa hawajabahatika tu mi naona.
Hahahaaa. Ndio hapo sasa mwaya. Kwenda kujianika huko hata sio kwa kweli.Ila walijiweza..naanzaje kuacha mambo ya msingi niende kwenye kongamano..khaa
Sidhani kama ni bahati mie naona ni mipango ya Mungu tu.Wataolewa tu,hivi kuolewa ni bahati??
Kabisa,ni Mungu tu..hata umri uende vipi kama imepangwa imepangwa tu,ukitoa tabia yake.Sidhani kama ni bahati mie naona ni mipango ya Mungu tu.
Ndio nionavyo hata mie pia.Kabisa,ni Mungu tu..hata umri uende vipi kama imepangwa imepangwa tu,ukitoa tabia yake.
Hahahahaahhaahha😀😀😀Mkuu umejuaje ilhali wote wamekaaKuna mmoja hapo ana chura,i wish i was there!!
Kuoa au kuolewa sio asali kwamba kila mtu anaweza akaonja.kuoana ni jambo la sifa
Haya kwa ridhaa yako ukiwa na akili timamu bila kushawishiwa na mtu yoyote mpe kibali shem awe huru kuongeza mwenzio kwa idhni ya Allah, nawe Allah akufungulie mambo yako.Hahahaaaaa. Lol.
Sio kwa kunibananisha huko jamaani lol. Nimekosa jibu kwa kweli. Hahaaaa.
Hahaaaa. Nimecheka sana leo Kaka. LolHaya kwa ridhaa yako ukiwa na akili timamu bila kushawishiwa na mtu yoyote mpe kibali shem awe huru kuongeza mwenzio kwa idhni ya Allah, nawe Allah akufungulie mambo yako.