Picha ya wasichana kwenye "Kongamano la wasioolewa"

Picha ya wasichana kwenye "Kongamano la wasioolewa"

27 years old, sijawahi pata shinikizo la kuoa si kutoka moyoni, wala wazazi,wala mchungaji wangu,wala ndugu na jamaa zaidizaidi kuna binti tu ananishinikiza eti nioe. najiuliza ndoa ina nini hata mabinti waitamani kiasi hicho napata jibu wengi wanahisi kuto olewa ni kama mkosi au laana kitu ambacho si kweli.
 
Mbona kuna siku mchungaji wa kanisa la mtongani mwaka jana aliwahi fanya ibada ya wasio olewa mbona alijaza kanisa mpaka nje? Au hakuna aliye toa hiyo habari alijaza watu [emoji848][emoji848][emoji848] mpaka ?
Sijasikia hio. Humo na wapenda midondo lazima walikuwepo!
 
Wakwangu sijampata bado
Waoneeni huruma jamani,sie wengine tayari hatuwezi kuongeza tena.Ila haya mambo bwana yanafurahisha sana,hapo unawaona wapole,wanyeyekevu,tangaza kuoa utaambiwa mahari mil.1.,wakati labda ungetegemea utaambiwa jichukulie tu uende zako au ajaribu hata kukutetea usiotoe mahari...!
 
Najua hiyo ndio tabia yenu ya "uchoyo", mkishapata neema hamtaki na wenzenu waneemeke, vibaya hivyo kunjueni nafsi banaaa!, huko kwa watano hapana huo mlango mwisho wanne tu.
Hahaaaa. Mie wacha niwe mchoyo tu jamaani sababu kile kitu kula wengi hapana kwa kweli.
 
Hahaaaa. Mie wacha niwe mchoyo tu jamaani sababu kile kitu kula wengi hapana kwa kweli.
Mnh we haya tu, baki choyo zako, sasa nikuulize swali la kizushi........siku moja umekaa kwako ukimsubir la'ziz wako mara paaap karudi baada ya salam za bashasha na upendo mmetulia juu ya sofa anakwambia nimekutafutia mwenzio uje uishi nae msaidiane kwa hali na mali utamjibuje............?.
 
Nnaona washageuzwa fursa. Hauchelewi kusikia hilo kongamano kulikuwa na kiingilio cha elfu 10-30 kumsikiliza main speaker akiongea
mkuu sio kweli ni free of charge zaidi tu huwa anasema chochote ulichonacho saidia kufanikisha hayo makongamano tena wengi wachangiaji ni wa prayer marathoners
 
Mnh we haya tu, baki choyo zako, sasa nikuulize swali la kizushi........siku moja umekaa kwako ukimsubir la'ziz wako mara paaap karudi baada ya salam za bashasha na upendo mmetulia juu ya sofa anakwambia nimekutafutia mwenzio uje uishi nae msaidiane kwa hali na mali utamjibuje............?.
Hahahaaaa. Hata sijui ntamjibuje kwa kweli. [emoji85]
 
Picha ya Wasichana kwenye "KONGAMANO LA WASIOOLEWA" lililoandaliwa na Mtumishi wa Mungu Colle Karyn, inaelezwa umri huwa ni miongoni mwa vitu vinavyowanyima usingizi na hupata wasiwasi wanapofikisha miaka 25 hawajaolewa.

Jambo jingine ambalo huwanyima usingizi Wasichana wengi ni maswali ya "unaolewa lini" kutoka kwenye Jamii zinazowazunguka. via BBC

View attachment 769257
Tena huyo aliyevaa pink anaonekana ana kiburi sana
 
Kuna Dogo hapa wame mbutua million 3 wakati ndio ana anza maisha, angekuwa hapo angeshika mkono tu maana inaonekana wanauhitaji haswa
 
Wanaonyesha kuwa warembo, lakini bilabila....

Hahahaha!! na dakika zinaenda kuwa za nyongeza, hapo tena wapige mbele tu hakuna haja ya fomesheni, kila ukipata mpira mbele tu unaweza kupata goli la ndondokela.
 
Hahahaaaa. Hata sijui ntamjibuje kwa kweli. [emoji85]
Kwa vyovyote vile kwa uchoyo wako utakataa, sasa atakuuliza swali uchague moja kati ya haya mawili
A. Umruhusu amlete mwenza
Au
B.Awe na mchepuko (kumbuka mchepuko ni dhambi kuubwa kwa imani yako)
Haya lete jawabu bint hajar(jiwe).
Nataka nione leo kama mtu hajaingia mitini.
 
Back
Top Bottom