Picha ya wasichana kwenye "Kongamano la wasioolewa"

Picha ya wasichana kwenye "Kongamano la wasioolewa"

Korosho zikiwa nyingi sokoni na wanunuzi ni wachache,sipati picha bei itakavyoporomoka!
 
Huyo dada wa katikati si niliwahi kumchumbia akakataa sasa kafata nini huko?
Wana nyodo balaa,ukimsalimia atakuangalia chini hadi juu kisha anakusonya au kukutema mate.ndo maana hatuwaowi maana mpaka amekubali kugegedwa ujue kaishiwa mate anataka umwongezee mengine
 
Waowaji tunaenda kuoa Kenya,Uganda,Rwanda hapa mie naenda Bujumbura kuchukua jiko wadada wa bongo tunafanya mazoezi na kupata experience tu.samahani mnisamehe lakini ukweli ndo huo.
 
Waowaji tunaenda kuoa Kenya,Uganda,Rwanda hapa mie naenda Bujumbura kuchukua jiko wadada wa bongo tunafanya mazoezi na kupata experience tu.samahani mnisamehe lakini ukweli ndo huo.
Hahahaha
 
Hili kongamano inabidi lifanyike na humu jf, wahanga wapo humu wengi sana.
Mbona kuna siku mchungaji wa kanisa la mtongani mwaka jana aliwahi fanya ibada ya wasio olewa mbona alijaza kanisa mpaka nje? Au hakuna aliye toa hiyo habari alijaza watu [emoji848][emoji848][emoji848] mpaka ?
 
Ndoa ni wito hivyo tutambue kila mmoja ana wito na karama yake.
Wanaoitwa ni wengi lakni wanaochaguliwa ni wachache. Mavuno ni mengi lakni watendakazi ni wachache
 
Duuh! Ila kwa wingi Wanawake tulionao na wanaume wa sasa walivyo wagumu upande wa kuoa lazima idadi iwe kubwa kiasi hiki. Lol.

Wanaume muwowe jamaani.
Sema tuoeni jamani, maana yake kuanzia wawiliwawili au watatuwatatu au mwisho wannewanne.
Waonaje hiyo bi hajar? mi nahisi kusingekuwa na vilio wala makongamano semina vikao na mikutano ya ambao hawajaolewa
 
makanisa ya kikristo yaangalie upya sheria,watu waweze kuoa wanawake angalau kuanzia 2
Mm siwezi kuoa wanawake 2 hata wakipitisha hiyo sheria. Mwanamke hata km ni mzuri wa sura lkn tabia mbaya atasubiri sana. Km wengine wameolewa wao wameshindwa nini? Wawailize wenzao
 
Wamwambie mkuu alegeze kamba la sivyo kwa vyuma hivi hata tuloonao tutawarudisha kwao ili kila Mzazi apambane na hali yake.
 
Sema tuoeni jamani, maana yake kuanzia wawiliwawili au watatuwatatu au mwisho wannewanne.
Waonaje hiyo bi hajar? mi nahisi kusingekuwa na vilio wala makongamano semina vikao na mikutano ya ambao hawajaolewa
Hahahaaa. Lol.

Japo dini inahalalisha ila duuh pagumu hapo. Ila kwa wingi wetu hata mkiwa na hao wa nne bado wapo watakaobaki.
 
Nanyi wanawake punguzeni kuchagua wanaume ili muolewe,mnachagua utafikiri mmewaumba nyinyi
 
Hahahaaa. Lol.

Japo dini inahalalisha ila duuh pagumu hapo. Ila kwa wingi wetu hata mkioa watano watano bado wapo watakaobaki.
Najua hiyo ndio tabia yenu ya "uchoyo", mkishapata neema hamtaki na wenzenu waneemeke, vibaya hivyo kunjueni nafsi banaaa!, huko kwa watano hapana huo mlango mwisho wanne tu.
 
Back
Top Bottom