Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mmmh mnajielewa nyie?! kuna wanaooa wa barabarani kabisa pale kilometa huwa zero?! mi ndoa naona kama pata potea flani haina formulawengi kilometa hazisomi
mbona hapo ni bongoFURSA HIYO WALETE NA BONGO WAPIGE PESA......
Mama Sabrina taratibu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mi mtu akiniuliza unaolewa lini nami namuuliza unakufa lini
Iceman 3D
WametuchoshaMama Sabrina taratibu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii ishu 50/50 itawagarim sana. Nature will remained to be nature whatever the case otherwise watasubiri snaWameshindwa ishi kama wanawake, wanataka ishi kisanii na wanataka 50/50. Hakuna mwanaume aliye tayari kukaa na mtu ambae anamuwekea masharti.
Sasa hivi wanawachungulia tu. Wanawasubiri wapite, washawaona kwa mbele, wanataka wawaone kwa nyuma. Mungu wa rehema awarehemu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wametuchosha
Hahahahahaha...Mungu atakufanyia wepesiNingekua dar cjui na mm ningeenda.maana huu uchumba sugu nilionao hatari sana
Wamekaa kama msibaniPicha ya Wasichana kwenye "KONGAMANO LA WASIOOLEWA" lililoandaliwa na Mtumishi wa Mungu Colle Karyn, inaelezwa umri huwa ni miongoni mwa vitu vinavyowanyima usingizi na hupata wasiwasi wanapofikisha miaka 25 hawajaolewa.
Jambo jingine ambalo huwanyima usingizi Wasichana wengi ni maswali ya "unaolewa lini" kutoka kwenye Jamii zinazowazunguka. via BBC
View attachment 769257
Sio ajielew inawezekana waliopita apo wanemuona ni pasua Kichwa tatizo lao walioenda ktk Ilo kongamano ni sawa na mtu alijikwaa alafu akachukia pale alipodondokea lakin alitakiwa aangalie nn kilichomuangusha ili ajifunze.Mkuu umewaza kama mimi inaelekea huyu binti ana bahati sema hajielewi
Hahahaaaaaaa dah! huu ushauri dah.... haya kiongozi.Chepuka acha kusogeza magoli!
Una hela? Waume wapo, hao wanatafuta pochi nene.Linafanyika wapi aisee?nikacheze maeneo hayoo!
Mke wangu inawezekana yupo hapo!
Mke mmoja tu pasua kichwa,then unataka ulazimishe watu waoe wa pili..no kila mtu apambane na hali yake"Lipangalo dunian, litakubalika mbingun" yesu alimuachia maagizo haya petro kama papa wa kwanza
Tutoke katka mke mmoja tuingie katka wake wawil, wasaidiz wetu wanazalilika mchna kweupee
Tunapendaa saana kuwaoa lakini tatizo wengi wenu mnataka kutukalia vichwani, na pia wenyewe hampendani kwa maana tukitaka kuongeza wenzenu kihalali hamtaki, mnaona bora tuwe na michepuko!........mtasugua sana kwa style hiyo.Si haba ni warembo hakika,..wakaka embu oeni jamani khaa hivi kwa mfano dadako yuko hapo unajisikiaje moyoni...oeni na nyie Dada zenu wapate neema ya kuolewa lol[emoji23][emoji23][emoji23]...