Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Ooh okay...nilishangaa kukuona huku ucku huuHaha..bado shem
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ooh okay...nilishangaa kukuona huku ucku huuHaha..bado shem
Ila namimi nashangaa kukuona muda huu na ikiwa u mume wa mtuOoh okay...nilishangaa kukuona huku ucku huu
Mim si unajua nafanya kk security?[emoji23] nipo lindoIla namimi nashangaa kukuona muda huu na ikiwa u mume wa mtu
[emoji23][emoji23] kk security.. lindo la jf shem?Mim si unajua nafanya kk security?[emoji23] nipo lindo
Hamna nipo kweny kibanda changu na gobole hapa,,nazuga zuga humu mida isonge[emoji23][emoji23] kk security.. lindo la jf shem?
Kabisa mkuu, wanawake wengi hawajui kuwa hakuna mwanaume anayetaka mtu wa kuukalia kichwani. Siku hizi wanawake wanajifanya wajuaji sana na ndiyo maana wanaume wanawajaza tu mimba na kuwaacha. Kumpata mwanamke anayejitambua kama "mwanamke" limekuwa ni jambo gumu sana katika kizazi hichi cha DotCom.Wameshindwa ishi kama wanawake, wanataka ishi kisanii na wanataka 50/50. Hakuna mwanaume aliye tayari kukaa na mtu ambae anamuwekea masharti.
Siyo kweli. Labda kwa kujiliwaza tuWatengeneze pesa tu!
Pesa ndiyo majibu ya yote! MUHIBIRI
Umeanza kutamani ufalme. Badili dini uwe huru.makanisa ya kikristo yaangalie upya sheria,watu waweze kuoa wanawake angalau kuanzia 2
Akiuliza swali usini - tag. Mpe mistari mingine tena akimbizane nayoSiyo suala la kukaa vikao na kuamua. Ni sheria tu.
Mathayo 19:4 Akajibu, akawaambia, Hamkusoma ya kwamba yeye aliyewaumba mwanzo, aliwaumba mtu mume na mtu mke,
5 akasema, Kwa sababu hiyo, mtu atamwacha babaye na mamaye, ataambatana na mkewe; na hao wawili watakuwa mwili mmoja?
6 Hata wamekuwa si wawili tena, bali mwili mmoja. Basi aliowaunganisha Mungu, mwanadamu asiwatenganishe.
7 Wakamwambia, Jinsi gani basi Musa aliamuru kumpa hati ya talaka, na kumwacha?
8 Akawaambia, Musa, kwa sababu ya ugumu wa mioyo yenu, aliwapa ruhusa kuwaacha wake zenu; lakini tangu mwanzo haikuwa hivi.
9 Nami nawaambia ninyi, Kila mtu atakayemwacha mkewe, isipokuwa ni kwa sababu ya uasherati, akaoa mwingine, azini; naye amwoaye yule aliyeachwa azini.
Umenigusa mkuu, mule muleunajua hili swala linatokana na mashauzi ya hawa mabinti pale boy anakua yupo kwenye kipindi cha kutafuta maisha sasa ile zarau anayomletea yule kijana inamharibu kisaikolojia na yeye akija kupata anaishia kuwachezea tu coz hata moyo wa kupenda hana tena kutokan na mateso aliyopata akiwa hana chochot
Mmmh.Kuna mmoja hapo ana chura,i wish i was there!!
Sanaa tuu ukioa hapo ukakosa presha basi utaokota vidonda vya tumboWameshindwa ishi kama wanawake, wanataka ishi kisanii na wanataka 50/50. Hakuna mwanaume aliye tayari kukaa na mtu ambae anamuwekea masharti.
Hivi sheria ya kutoa mahali Nani alituletea !!Sasa hao wakinadada wataolewa na nani kama sisi wanaume hatuna mpango wa kuwaoa. Tuache ubabaishaji. Tutoe mali. Tuoe hao warembo.