Picha ya Wiki: Waziri wa Ulinzi akitumia kifaa kitaalamu sana akiwa katika tafrija Msata-Pwani!

Niliambiwa pia zipo saa za mkononi, miwani na kalamu hufanya hiyo kazi
 
Aise dah hii sio poa
 
Ujinga mtupu

Yaani picha ya moment ndio kiashiria waziri hajui kutumia kifaa.

Common sense nani mwenye akili timamu akipewa binoculars hajui kulenga.

Yaani mtu kutumia sekundΔ™ kadhaa kulenga sehemu nyingine ndio hajui kutumia kifaa.

Kama kifaa ambacho kinaweza tumiwa na mtoto mdogo kudhani mtu mzima kitamshinda na ikawa hoja kwenye jamii. Hiki ni kielekezo cha ujinga wa watanzania.

Kabisa kuna wapuuzi wanaamini unahitaji special training kutumia binoculars kuangalia tukio na waziri hajui. Na kuna watu wakaamini inataka maarifa ya kutumia binocular basi kiwango cha upuuzi wetu is beyond this worldZ
 
Sijui alikuwa anaona nini?
 
Ujinga wakati wa kwenda kurudi kila mtu anajua njia...suala la kawaida kuwa na phd ya sheria haimaanishi unajua mid cubital vein...
Alipaswa tu kuelekezwa sio mwanajeshi huyo mkumbuke
 
Ujinga wakati wa kwenda kurudi kila mtu anajua njia...suala la kawaida kuwa na phd ya sheria haimaanishi unajua mid cubital vein...
Alipaswa tu kuelekezwa sio mwanajeshi huyo mkumbuke
Ndugu uhitaji mafunzo ya kitaalamu ya malenga (snipers) kutumia binocular useme upime wind speed na kadhalika kabla ya kufyatua risasi ya mbali kama kilometre kadhaa ili kupata target.

Kwa matumizi ya kuangalia matukio tu hata mtoto wa miaka mitatu mradi anajua anaangalia nini anaweza tumia binocular. Ni ushamba kudhani mtu wa miaka 60 hawezi jua kutumia.
 
Hahahha sawa
Ila tutoe nafasi kwa watu kujifunza pia wasivovijua
 
Alikua anataka kuwaona kwa mbali,ukigeuza hivyo unaona watu wako mbali mnooo
 
Ukitaka kujua kwanini watu wanamsema sana na kumponda, imagine ingekuwa ni bunduki!!

Angejilipua na wote walio nya yake

Ila mnisamehe bure, sijawahi kuona chichote anachojuwa huyu mama kuanzia akiwa SADC wakati wa JK
 
Huyu ana miaka 60 lakini hajui sasa tayari. Dumbest minister of defence in the history of Tanzania
 
For a curious person, hata mimi ningeweza kufanya alichofanya Mama Tax ili kuona "what happens" lakini wakati kwangu ingekuwa ni out of curiosity, hapo hapo wengine ndo wangekuwa wamenifotoa na mjadala kuwa kama huu! Sitaki kuamini eti Mama Tax alikuwa hafahamu wakati hata ukiishika tu, unajua wapi mbele na wapi nyuma!
 
Huyu ana miaka 60 lakini hajui sasa tayari. Dumbest minister of defence in the history of Tanzania
Eventually I have figured the issue of her ridicule it’s the side used for observation
🫣🫣🫣
Dint catch that at first
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Majanga
 
Hajazoea kupiga chabo kwa mwingine, huwa anajitahidi kutumia akili yake. πŸ˜€
 
Kiongozi watz tuache tu kama tulivyo.......ndo maana watu wanaamua kujipigia tu.
I get that kwa uhalisia wa utamaduni uliopo na njia ambazo jamii inazozijua.

Ndio maana uwezi laumu watu, isipokuwa unalaunu mfumo unaolea matendo ya watu kujipigia na wao kuona hiyo ni njia halali ya kufikia malengo yao.

Solution ni mtu wa kubadilisha culture na kuwabana watu ya kuwa hizo ni fikra potofu na hiyo kazi sio rahisi na wala sio popular
 
Wahusika walijisahau kumwelekeza jinsi/namna ya kuitumia
 
Atamweza kweli kuandika mikataba Vizuri kweli Kama kitu Kama hicho kinamshinda!!!Mama wa Watu kazeeka.
 
Wewe una tatizo kuliko Mama Tax. Unahitaji daktari wa afya ya akili
 
sikuhizi watz wamekuwa watu wa hovyo sana, binocular imekuwa story kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…