Murtaugh Warshawski
Member
- Apr 9, 2023
- 97
- 201
Ujuaji at it's peakππNyuki wa Mama mpo?
Kama mnavyomuona kwenye picha Waziri wa Ulinzi akiwa beneti na Mama wakiangalia kwa makini hicho walichoambiwa ni cha kutazama katika ufunguzi wa zoezi la medani katika kuazimisha miaka 60 ya JWTZ, Msata-Pwani
Kwa utaalamu mkubwa alionao Bi Stergomena Tax akatumia kifaa tofauti na kwa ustadi mkubwa sana. Hata alikiona kweli alichokuwa anakiangalia?
Jambo ukiwa ulijui si unauliza tu, au nimekosea nyuki wa Mama mwenzangu Lucas Mwashambwa?
Narudisha mpira kwenu nyuk
Kwa nani?Ujuaji at it's peakππ
Kwa TaxKwa nani?
Akili ya buku7fcmipiga picha na mtoa hoja wameingizwa chaka vizuri sana...
mambo ya kiusalama hupumbaza sana maadui π
Tax mbona yeye n MkristoElmu dunia hiyo, ama kweli wenzetu wanasoma sana πππππ€£π€£π€£π€£π€£ hahahahahha
Mbona hy ndio professional kwa video hasa AfrikaKuna jamaa kule yuko na camcorder mbona km zimepitwa na wakatiView attachment 3077444
Kabisa Mkuu huu uzi UFUTWE...Nashauri huu uzi ufutwe mana unadhalilisha jeshi letu π
Still picture haitoshi kuhukumu maana inategemea ilipigwa wakati gani, huenda ndio alikuwa ametoka kukiinua.. Walau video ingefikisha taarifa kamili
Mtanzania ni mgumu sana kukubali madhaifu yakeMtanzania ni mgumu sana kusema sijui.
Hujawah kujitambua wwmipiga picha na mtoa hoja wameingizwa chaka vizuri sana...
mambo ya kiusalama hupumbaza sana maadui π
dah,Hujawah kujitambua ww
Ukiwa chawa lazima uwe na matatizo ya akili kama yakodah,
kwahivyo wanaojitambua ndio kama wewe aise!
bas mwisho wa dunia utakua jirani sana π
kuna shambulio la kimtandao kwenye medani dah πBado hujasema nyuki mwenzanguππ
wasio na matatizo ndio kama wewe dah!Ukiwa chawa lazima uwe na matatizo ya akili kama yako
umepanic gentleman πAkili ya buku7fc