Picha ya Wiki: Waziri wa Ulinzi akitumia kifaa kitaalamu sana akiwa katika tafrija Msata-Pwani!

Hapo haoni kitu.....hakuna object iliyokaribu less than 1 cm tena anatazama kwa macho mawili akiwa amegeguza binocular....kifupi HAJUWI MATUMIZI.....mashikolo mageni
Binocular ukiigeuza unatazama kwa jicho moja ....tundu moja kwenye object iliyokaribu mfano kuona sisimizi nk sasa hapo huyo mtumiaji anaona nini kam si hewa tu....
 
Hakuna binocular ya hivyo !! Kachemka
 
Piwa chawa tena ova Lucas
 
Bc tuseme na hao wngn pia wamekosea mana huenda nao ndio walikuwa wametoka kuinua
na sio lazima wainue kwa pamoja! Ndio maana nikakwambia, still picture haiwezi kutoa information kamili
 
Kwa utaalamu mkubwa alionao Bi Stergomena Tax akatumia kifaa tofauti na kwa ustadi mkubwa sana. Hata alikiona kweli alichokuwa anakiangalia?
Sijui ingekuwa suruali angevaaje🀣🀣
Ni sahihi kabisa ku reverse kijiko hata kikombe ikibidi
Hongera mlinzi wa mipaka yetu
Mr. Slimu ametujua tulivyo a mile more
 
Sasa Mh Waziri mbona hyo Binocular yenyewe kaigeuza?!
Hio inaona kotekote huko alikogeuzia Waziri ndio zoom kubwa zaidi km Microscope πŸ”¬ yaan muwe mnasoma au mnafuatilia baadhi ya vipindi ndio mtaelewa kwa hio hapo Waziri anaona kwa karibu zaidi kitu kilicho mbali anakiona km kipo sentiment 1 tu kutoka alipo kumbe kipo kilometres za kutosha
 
Nimecheka mpaka basi!
Sasa huyu si anaweza kuchungulia risasi inatokake kwenye bunduki ikisha kokiwa?
 
Kwa utaalamu mkubwa alionao Bi Stergomena Tax akatumia kifaa tofauti na kwa ustadi mkubwa sana. Hata alikiona kweli alichokuwa anakiangalia?
Km kitu haujui ni bora kuomba kujifunza Waziri hajakosea hio binocular inaona kotekote tena huko alikogeuzia ndio anaona kwa karibu zaidi
 
Hhaha ajamuona amiri jeshi mkuuu hapo ? Ila darubin nyingi unaangalia pande zote mbili mbona
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Tatizo la hapo ni kwamba kila mtu alikua kaweka akili na macho kwa Mh Rais. Hivyo makosa kama hayo ilikua ngumu kuyatambua
 
Na Bado Atasifiwa/Atasifia Zoezi Limekwenda Vizuri Mno
Ameona Makubwa Sana Sana, Haa
Ila Acha Tusiseme Sana
 
Nadhani ndiyo alikuwa anakisogeza mahali pake kwa ajali kamerq ikamnasa.
Namfahamu huyo mama si mshamba wa mambo hayo hata kidogo
Kutikujua kitu si ushamba. Waliomwangusha ni waliompa kifaa bila maelekezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…