Picha ya Wiki: Waziri wa Ulinzi akitumia kifaa kitaalamu sana akiwa katika tafrija Msata-Pwani!

Picha ya Wiki: Waziri wa Ulinzi akitumia kifaa kitaalamu sana akiwa katika tafrija Msata-Pwani!

Wewe ni mtu wa namna gani mwenye ujuaji usioweza kujenga hoja nje ya box?

Unachokisoma kwenye maandishi theoretically chaweza kuwa si hicho unachong'ang'aniza nikubaliane nawewe, darubini zipo za aina nyingi bhana.

Mimi vifaa hivyo nilishavitumia practically/phisically kwa muda mrefu, kwahiyo ninavijua siyo kwa kusimuliwa ndiyo maana nimekomaa kujenga hoja.

Labda nikuulize, ni aina gani ya darubini unayoiongelea na kutandaza formular hapa?

Hizo binoculars za kijeshi/kitalii zinazoongelewa hapa nimezitumia na kuzichezea kwa miaka nenda rudi ninazijua kwa undani.

Siwezi kukaa na kifaa miaka yote hiyo nisijue namna kinavyofanya kazi ama kushindwa kujaribu kutafiti kutazama kwa kinyume kama anavyofanya huyo Waziri!

Binocullar ukiigeuza inaona vitu kwa udogo, ukubali ukatae habari ndiyo hiyo period
Hapo haoni kitu.....hakuna object iliyokaribu less than 1 cm tena anatazama kwa macho mawili akiwa amegeguza binocular....kifupi HAJUWI MATUMIZI.....mashikolo mageni
Binocular ukiigeuza unatazama kwa jicho moja ....tundu moja kwenye object iliyokaribu mfano kuona sisimizi nk sasa hapo huyo mtumiaji anaona nini kam si hewa tu....
 
Ribon unazosema wewe ni adjustable.

Concave lenses zimetumika.

Usidhani huyo Waziri haelewi matumizi sahihi ya kifaa hicho na ikitokea kutokujua matumizi yake, hapo wapambe wangeling'ang'ana kumuelekeza fasta.

Sema nyie mnalikuza hili lakini ni issue ndogo sana
Hakuna binocular ya hivyo !! Kachemka
 
Yaani kugeuza binocular nayo ni stori?

Hapo siyo kwamba haelewi matumizi yake isipokuwa alikuwa akitest muonekano wa image tu kama kujifunza kitu flani.

Kwa sababu ukiangalia kitu kwa kutanguliza 'pakubwa' mbele, image huonekana vizuri safi kabisa na kwa ukubwa.

Na kinyume chake kama alivyofanya yeye, ukitanguliza 'padogo' mbele, image huonekana kwa udogo sana na zikiwa mbali hauwezi kuzitambua.
Piwa chawa tena ova Lucas
 
Bc tuseme na hao wngn pia wamekosea mana huenda nao ndio walikuwa wametoka kuinua
na sio lazima wainue kwa pamoja! Ndio maana nikakwambia, still picture haiwezi kutoa information kamili
 
Kwa utaalamu mkubwa alionao Bi Stergomena Tax akatumia kifaa tofauti na kwa ustadi mkubwa sana. Hata alikiona kweli alichokuwa anakiangalia? :KEKLaugh::KEKLaugh::KEKLaugh:
Sijui ingekuwa suruali angevaaje🤣🤣
Ni sahihi kabisa ku reverse kijiko hata kikombe ikibidi
Hongera mlinzi wa mipaka yetu
Mr. Slimu ametujua tulivyo a mile more
 
Sasa Mh Waziri mbona hyo Binocular yenyewe kaigeuza?!
Hio inaona kotekote huko alikogeuzia Waziri ndio zoom kubwa zaidi km Microscope 🔬 yaan muwe mnasoma au mnafuatilia baadhi ya vipindi ndio mtaelewa kwa hio hapo Waziri anaona kwa karibu zaidi kitu kilicho mbali anakiona km kipo sentiment 1 tu kutoka alipo kumbe kipo kilometres za kutosha
 
Nyuki wa Mama mpo?

Kama mnavyomuona kwenye picha Waziri wa Ulinzi akiwa beneti na Mama wakiangalia kwa makini hicho walichoambiwa ni cha kutazama katika ufunguzi wa zoezi la medani katika kuazimisha miaka 60 ya JWTZ, Msata-Pwani


Kwa utaalamu mkubwa alionao Bi Stergomena Tax akatumia kifaa tofauti na kwa ustadi mkubwa sana. Hata alikiona kweli alichokuwa anakiangalia? :KEKLaugh::KEKLaugh::KEKLaugh:

Jambo ukiwa ulijui si unauliza tu, au nimekosea nyuki wa Mama mwenzangu Lucas Mwashambwa?:KEKLaugh::KEKLaugh::KEKLaugh:

Narudisha mpira kwenu nyuk
Nimecheka mpaka basi!
Sasa huyu si anaweza kuchungulia risasi inatokake kwenye bunduki ikisha kokiwa?
 
Kwa utaalamu mkubwa alionao Bi Stergomena Tax akatumia kifaa tofauti na kwa ustadi mkubwa sana. Hata alikiona kweli alichokuwa anakiangalia? :KEKLaugh::KEKLaugh::KEKLaugh:
Km kitu haujui ni bora kuomba kujifunza Waziri hajakosea hio binocular inaona kotekote tena huko alikogeuzia ndio anaona kwa karibu zaidi
 
Hhaha ajamuona amiri jeshi mkuuu hapo ? Ila darubin nyingi unaangalia pande zote mbili mbona
 
😂😂😂😂 Tatizo la hapo ni kwamba kila mtu alikua kaweka akili na macho kwa Mh Rais. Hivyo makosa kama hayo ilikua ngumu kuyatambua
 
Na Bado Atasifiwa/Atasifia Zoezi Limekwenda Vizuri Mno
Ameona Makubwa Sana Sana, Haa
Ila Acha Tusiseme Sana
 
Nadhani ndiyo alikuwa anakisogeza mahali pake kwa ajali kamerq ikamnasa.
Namfahamu huyo mama si mshamba wa mambo hayo hata kidogo
Kutikujua kitu si ushamba. Waliomwangusha ni waliompa kifaa bila maelekezo
 
Hawa ndo wasomi wetu! Kama taifa kuna sehemu kuna shida

Screenshot_20240825_035848_X.jpg
 
Back
Top Bottom