Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu kwani unataka kujua nn yaan, hebu funguka nikusaidie.Cocastic unanichanganya sana how you process these events!!! Nashindwa kukuelewa preference yako!
Hii kauli huwa ina maana gani?Women are lesbian by nature.
Baba Levo anakataa vipi, wakati yupo tayari mpaka kumzalia mtoto 🤣Wale chawa wa domo akitaka kuwabusu hawawezi chomoa
How?Girls are lesbians by nature
Ni gay huyo kama ulikuwa hujui, wadau wanamjua sana umu so usishangaeCocastic unanichanganya sana how you process these events!!! Nashindwa kukuelewa preference yako!
Wananijua au wananifahamu? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni gay huyo kama ulikuwa hujui, wadau wanamjua sana umu so usishangae
Sent from my SM-J415F using JamiiForums mobile app
wanawake wanaitana hadi baby baby!Wanawake wanaweza kukiss, kupakatana na kufanya mengi na bado shida isiwepo(wasiwe lesbians)
Nakubaliana na wewe, hata chatings zenu hazinagana ukakasi, nikawaida ladies kuitana , kipenzi, dear, sweet, etc.Jinsia ya kike ikifanya hivyo inaweza isiwe shida sana
Shida inaweza kuwepo wakifanya wanaume kwa wanaume
Hujaona venue hua wana tritiana utasem n wapenz iv babes babes nying saanaHow?
Ok,sawaHujaona venue hua wana tritiana utasem n wapenz iv babes babes nying saana
Ahsante kwa taarifa nilikuwa sijui kuwa mchele mchele!!Ni gay huyo kama ulikuwa hujui, wadau wanamjua sana umu so usishangae
Sent from my SM-J415F using JamiiForums mobile app
Ingawa nimedokezwa lakini nataka unitoe dukuduku wewe mwenyewe kuhusu your relationship preference!Hebu kwani unataka kujua nn yaan, hebu funguka nikusaidie.
Ili nikutoe duku duku lako.
Sina relationship preference. Vipi una jingine?Ingawa nimedokezwa lakini nataka unitoe dukuduku wewe mwenyewe kuhusu your relationship preference!
Kama kufunguka nimekwisha funguka vya kutosha; kwahiyo nitaamini nilichoambiwa juu yako! Basi usinitoe dhahania!Sina relationship preference. Vipi una jingine?
Funguka nikutoe dhahania,
Wanawake/ wasichana wengi wanasagana wengine bila kujijua maana ata visichana vya shule na chuo vinatabia za kushikanashikana ,mara kiss ,mara kupakatana, yaani umarekani mwingi kumbe ndo wanasagana bila kujuaJinsia ya kike ikifanya hivyo inaweza isiwe shida sana
Shida inaweza kuwepo wakifanya wanaume kwa wanaume