Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Leo Tarehe 15 feb 2024 ni siku ya baraka Jijini Mwanza, baada ya umati wa wananchi kujitokeza kwa wingi kushiriki maandamano ya amani ya kupinga ugumu wa maisha n miswada mibovu ya sheria za uchaguzi.
Viwanja vya Furahisha vyazidiwa watu wamesimama mguu mmoja mmoja, ukisimama miguu miwili umekanyaga mtu
Hiki hapa ni kituo cha Igoma.
Viwanja vya Furahisha vyazidiwa watu wamesimama mguu mmoja mmoja, ukisimama miguu miwili umekanyaga mtu
Hiki hapa ni kituo cha Igoma.