Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
Usiondoke JFMajibu ya ile karatasi UN tunataka mrejesho!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiondoke JFMajibu ya ile karatasi UN tunataka mrejesho!
Usiseme watakuwa wapinzani, kwani wapinzani ndio nani hao?Mwaka ujao 3/4 ya Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania watakuwa wapinzani.
Wewe hakuna wa kukuteua utabaki kuwa muuza k tu bwege weweNaona mnajitekenya na kucheka wenyewe kama mazuzu.
😆😆😆😆Usiseme watakuwa wapinzani, kwani wapinzani ndio nani hao?
Sema mwaka huo wapinzani 1/4 watakuwa ni CCM.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Aisee 🤔Naiona Tume HURU ya UCHAGUZI na KATIBA mpya kabla ya Uchaguzi wowote ileeeeree😀
Karibu kamanda Idugunde
Sasa kama macho huna hilo halituhusuMbona watu wachache sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tanzania kuna uhuru wa maoni uchaguzi huru watu wapo huru kutoa mawazo yao bila mipaka wakisindikizwa na dola.mmejimaliza!Jitahidi kuvumilia yasiyokufarahisha. Hapo hakuna nguvu Wala vitisho vya Dola. Huo ni umati unaokwenda kwa hiari Yao.
Sheria za uchaguzi zinedhsjsdiliwa tayari Bungeni bado Rais tu kuzisaini. CHADEMA mlikuwa wapi wenzeni wsnato maoni yao halafu imefika mwisho meaning mawazo ya wenzenu?Leo Tarehe 15 feb 2024 ni siku ya baraka Jijini Mwanza, baada ya umati wa wananchi kujitokeza kwa wingi kushiriki maandamano ya amani ya kupinga ugumu wa maisha n miswada mibovu ya sheria za uchaguzi.
Hiki hapa ni kituo cha Igoma.
View attachment 2904724View attachment 2904726View attachment 2904727View attachment 2904764