Kakumamoto
JF-Expert Member
- May 6, 2015
- 1,237
- 1,696
Watu wanaandamana Mwanza unalaumu Wachaga?!!Wakwende zao hao wachagga na lichama lao la kifisadi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wanaandamana Mwanza unalaumu Wachaga?!!Wakwende zao hao wachagga na lichama lao la kifisadi!
Picha tafadhali 🙏Nimemuona Dr.Slaa, safi sana
Huyu ni mpumbavu wa sikuWakwende zao hao wachagga na lichama lao la kifisadi!
Picha tafadhali 🙏
Usilie , Mambo badoSerikali imefanya vyema kuruhusu haya maandamano ili kuwanyima Mbowe na genge lake kiki ya kisiasa. Haya maandamano hayana tofauti na yale MAANDAMANO YA EKARISTI kanisa la RC. Haina amsha amsha ya kisiasa. Walitegemea kutopewa kibali na kulazimisha kibabe ili kupata publicity kwenye media hasa wakati huu wa maombolezo.
Tulionya tukapuuzwaHali ya hewa yenyewe nzuri mwanza.
Na watu nimeona wako wengi kweli aiseee.
Usiondoke JFYale maandamano ya Dar walisahajibiwa na umoja wa mataifa kama alivyoahidi Mbowe??
Wewe uza k yako mbovu kwa walevi mbwa haya mambo ya kiume tuachie wenyeweSerikali imefanya vyema kuruhusu haya maandamano ili kuwanyima Mbowe na genge lake kiki ya kisiasa. Haya maandamano hayana tofauti na yale MAANDAMANO YA EKARISTI kanisa la RC. Haina amsha amsha ya kisiasa. Walitegemea kutopewa kibali na kulazimisha kibabe ili kupata publicity kwenye media hasa wakati huu wa maombolezo.
Namuona Dr Slaa, hahahaha
Si ulisema hakuna Mtanzania mwenye akili ataandamana?Nimecheka sana leo.Hivi ili kundi la Siasa limeshindwa ata kuheshimu msiba wa mgombea wao mwaka 2015? Lakini bado nimejiuliza kua hizi jogging zetu CHADEMA ndiyo zitaweza kuondoa ugumu wa maisha nani maisha yapi? Bado tuendelee kuishauri CCM ili ibaki madarakani.
Yaani watu hawaambiliki leo mwanza, hata ambao hawajaenda lakini ukiwasikiliza mazungumzo yao ni yana wasapoti waandamanaji.Tulionya tukapuuzwa
Nilisema ndiyo na hakuna ambae ameandamana bali watu wamefanya matembezi na joggingSi ulisema hakuna Mtanzania mwenye akili ataandamana?
Kiko wapi?
Kwahiyo Wewe huandamani unashabikia tuMaandamano yamenipita hapa Nimemuona Dr.Slaa, safi sana
Na bunge nalo basi lingesimama kuhani msiba mbona lenyewe hulizungumzii we kiaziNimecheka sana leo.Hivi ili kundi la Siasa limeshindwa ata kuheshimu msiba wa mgombea wao mwaka 2015? Lakini bado nimejiuliza kua hizi jogging zetu CHADEMA ndiyo zitaweza kuondoa ugumu wa maisha nani maisha yapi? Bado tuendelee kuishauri CCM ili ibaki madarakani.