Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maandamano yanaanzia sehemu tatu za jiji la Mwanza kuelekea viwanja vya Furahisha
View: https://m.youtube.com/watch?v=wu8wY5GG6ak
Wenye nchi ni WananchiBaada ya maandamano nini kinafuata? Huo ujumbe wa maandamano, maisha Magumu, nauli zishuke, Katiba nk tunampa nani?.
Maandamano pekee yakushinikiza Serikali za Kiafrica ni Yale ya vurugu na kuitisha maandamano yasiyokoma mpaka a,b, c zinawekwa sawa.
Kitu kinachoitwa maandamano ya kuzururazurura tu kwa viongozi wa Africa haina msaada.
Mwanza kimeumana, watu shida nyingi ,Rais sijui yuko wapi, ccm kwisha habari yake
Watanzania tunatumia HAKI yetu ya KIKATIBA kusema hizo Sheria hatuzikubali.Sheria za uchaguzi zinedhsjsdiliwa tayari Bungeni bado Rais tu kuzisaini. CHADEMA mlikuwa wapi wenzeni wsnato maoni yao halafu imefika mwisho meaning mawazo ya wenzenu?
HakikaMwanza kimeumana, watu shida nyingi ,Rais sijui yuko wapi, ccm kwisha habari yake
Tuandamane tu ili tusizike wengine kwa njaaNgoja tuzike kwanza
Akizisima then what nextNamuomba Mhe. Rais asome alama za nyakati ili CCM yetu isije ikaangukia pua. Naipenda CCM.
Mungu Ibariki CHADEMA[emoji173]Leo Tarehe 15 feb 2024 ni siku ya baraka Jijini Mwanza, baada ya umati wa wananchi kujitokeza kwa wingi kushiriki maandamano ya amani ya kupinga ugumu wa maisha n miswada mibovu ya sheria za uchaguzi.
Hiki hapa ni kituo cha Igoma.
View attachment 2904724View attachment 2904726View attachment 2904727View attachment 2904764
Vp chawa wa Taifa mbna unaweweseka hivi????Naona mnajitekenya na kucheka wenyewe kama mazuzu.
Njaa?? Wakati mipunga itavunwa ambavyo haijawahi kutokea!. Kilo itashuka hadi 1000. Inflation itashuka dramatically at the end of this year na nyomi ya maandamano hautaiona tenaTuandamane tu ili tusizike wengine kwa njaa
Amen
Ni nani *mshauri wa ruhusa za maandamano??
Mbona siyo kawaida?
Ni kwanini sasa hivi 2024/2025 mwaka wa uchaguzi?
Kuna jambo hapa si kawaida kwetu!
Zamani ilikuwa CHADEMA wakifanya maazimio tu ya kuandamana tayari taarifa za 'kiintelijensia' zinasambaa, na kuzuia maandamano.
Anzeni na sukari basiNjaa?? Wakati mipunga itavunwa ambavyo haijawahi kutokea!. Kilo itashuka hadi 1000. Inflation itashuka dramatically at the end of this year na nyomi ya maandamano hautaiona tena