CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Maandamano yamefana sana,kwa jinsi kulivyokucha na mvua nilijua watu hawatatoka lakini kumbe ilikuwa baraka hali ya hewa imekuwa rafiki kwa maandamano.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sinaga muda wa kujadiliana na viumbe aisee.Na bunge nalo basi lingesimama kuhani msiba mbona lenyewe hulizungumzii we kiazi
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Kweli kabisa Chadema haijawahi kushinda CCM.Shetani hajawahi kumshinda Mungu
Mimi ni mwajiriwa huu muda wa kazi. Nikifukuzwa nitakula kwenu?Kwahiyo Wewe huandamani unashabikia tu
Bavicha bure kabisa 😂
Wakati mwili wa Lowwassa ukipelekwa Longido,CHADEMA wemefanya matembezi ya kufuraia kuruhusiwa kufanya mikutano wakati Taifa zima likiwa kwenye maombolezo ya kuondokewa na aliwai kua mgombea wa CHADEMA kiti cha Urais 2015 na waziri mkuu mstaafu hayati Edward Lowassa.
Maandamano yanayoanzia sehemu tatu za jiji la Mwanza kuishia viwanja vya Furahisha
Makamu Mwenyekiti bara CHADEMA aongoza moja ya maandamano hayo ya Mwanza
View attachment 2904936
Ndio uishukuru CCM kwa kukupa mshahara wa kulisha familia YakoMimi ni mwajiriwa huu muda wa kazi. Nikifukuzwa nitakula kwenu?
Sawa ShangaziWewe uza k yako mbovu kwa walevi mbwa haya mambo ya kiume tuachie wenyewe
Umesahau kero ya umemeKero ya kuadimika na kupanda Bei sukari kumewaudhi Wana CCM wengi,
Wapo kwenye maandamano pia ingawa Kwa kificho.
Shughuli😀😀😀Naona mnajitekenya na kucheka wenyewe kama mazuzu.
Umeme hakuna lakini TRA wanataka Kodi!!Umesahau kero ya umeme
Wenzio tupo field wewe umejificha kwenye simu!Siyo barua ya kwenda kwa mwenyekiti wa kijiji ile.Inahitaji muda.
Uwe field wewe?We endelea kupalilia "mindizi"!Wenzio tupo field wewe umejificha kwenye simu!
Msiba ni jambo la Mungu na maandamano nayo ni ya MunguNimecheka sana leo.Hivi ili kundi la Siasa limeshindwa ata kuheshimu msiba wa mgombea wao mwaka 2015? Lakini bado nimejiuliza kua hizi jogging zetu CHADEMA ndiyo zitaweza kuondoa ugumu wa maisha nani maisha yapi? Bado tuendelee kuishauri CCM ili ibaki madarakani.
😆😆😆😆😆Nasikia maeneno mengi ya Mwanza leo yana UMEME
Asante sanaNipo Mwanza. Maandamano yamefanikiwa sana.