Twin Tower
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 2,170
- 3,067
Wekeni picha na video tuona yanayojili huko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu unayo macho ?Wekeni picha na video tuona yanayojili huko.
Sidhani kama mwakani mtapata Mgombea Urais! Yaani Mgombea Urais wenu hata kuzikwa bado nyie mko mabarabarani eti maandamano? Ujinga gani huo? Ngoja tuone siku Mbowe akifa kama mtamuacha mochwari ili mkaandamane!Shetani hajawahi kumshinda Mungu
Mkuu mi nipo Mwanza. Maandamano ya watu hamsini unaiita nyomi?Wekeni picha na video tuona yanayojili huko.
Hoja yako ni ya kipuuziSidhani kama mwakani mtapata Mgombea Urais! Yaani Mgombea Urais wenu hata kuzikwa bado nyie mko mabarabarani eti maandamano? Ujinga gani huo? Ngoja tuone siku Mbowe akifa kama mtamuacha mochwari ili mkaandamane!
Kama ni 50 kinachokuliza nini ?Mkuu mi nipo Mwanza. Maandamano ya watu hamsini unaiita nyomi?
Maandamano yanaanzia sehemu tatu za jiji la Mwanza kuelekea viwanja vya Furahisha
View: https://m.youtube.com/watch?v=wu8wY5GG6ak
Historia ya jiji la Mwanza
Idadi ya wakazi wa mji wa Mwanza ni karibu watu 800,000 wakati wa siku. Hii ni kutokana na harakati kutoka miji na vijiji vya jirani wanaoingia kwa kwa biashara ndogo ndogo na shughuli nyingine za kiuchumi mbalimbali.
Kulingana na Sensa ya Taifa ya 2012, idadi yawatu katika Jiji ilikuwa 363,452 (177,812 Wanaume na 185,640 wanawake). Idadi ya watu 2016 inakadiriwa kuwa watu 459,565.
Source : https://mwanzacc.go.tz/historia
Ahahahahaha! Nayajua sana majibu yako unaposhikwa pabaya! Ahahahahaha! Kama uko Mwanza, ukitoka kwenye maandamano njoo hapa Nyamagana Garden unywe angalau bia mbili tatu upooze koo! Ahahahahaha!!!Hoja yako ni ya kipuuzi
Nalia au nashangaa kuita watu 50 nyomi? Wngekuwa 90 ungesemaje! Ahahahahaha!!!Kama ni 50 kinachokuliza nini ?
Kuna watu wadini na wakabila kuzidi sisiemu?Erythrocyte atanisamehe kwakweli, upinzani sometimes unasaidia. Ila kushika nchi hapana kwa kweli, (Ubaguzi, udini na ukabila) hivi vitu kama wataacha watafika mbali, japo sio wote wapo hivyo.
Tukusamehe kwenye nini ?Erythrocyte atanisamehe kwakweli, upinzani sometimes unasaidia. Ila kushika nchi hapana kwa kweli, (Ubaguzi, udini na ukabila) hivi vitu kama wataacha watafika mbali, japo sio wote wapo hivyo.
Mwamko hapa Mwanza ni mkubwa by far ilivyokuwa Dar.Asante sana
Hayo mambo mbona yapo sana huko ccm, na bado hujawahi kusema, why?Ubaguzi, udini na ukabila
SafiHadi wakati huu tunavyoongea, Mwanza imeifunika Dar Kwa umati mkubwa,
Ngoja tusubiri Ikiwa Mbeya na Arusha watapindua mezani!!
kuna umati wapi hapo kwenye hayo mahangaiko acha upotoshaji wew 🐒Jitahidi kuvumilia yasiyokufarahisha. Hapo hakuna nguvu Wala vitisho vya Dola. Huo ni umati unaokwenda kwa hiari Yao.