Kididimo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 4,153
- 3,800
Nipo Mwanza. Maandamano yamefanikiwa sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo Mwanza. Maandamano yamefanikiwa sana.
Watu wamegoma kwenda msafara wa Lowassa wanatandikwa mingumi bila utaratibu.Naona mnajitekenya na kucheka wenyewe kama mazuzu.
Chadema haihitaji huo utopolo wako , inakitaka kiti cha Urais 2025 liwake au inyesheNi maandalizi ya nusu mkate,kibano Cha kimataifa Cha miaka SITA ya jpm kimeleta pressure kubwa kimataifa kiasinkwamba linahitjika Binge lililobalance vizuri!!
Mama anakubali haya kwa shingo upande na hamna namna!!
Mama hatakiwiNi nani *mshauri wa ruhusa za maandamano??
Mbona siyo kawaida?
Ni kwanini sasa hivi 2024/2025 mwaka wa uchaguzi?
Kuna jambo hapa si kawaida kwetu!
Zamani ilikuwa CHADEMA wakifanya maazimio tu ya kuandamana tayari taarifa za 'kiintelijensia' zinasambaa, na kuzuia maandamano.
Monduli Jmosi mkuu nitakua mstari wa mbele sana na Mama yetu ambae sote tunampenda sana Rais,Dr SSHWe nenda Arusha ukadungwe ngumi za uso huku hapakufai
Namuomba Mhe. Rais asome alama za nyakati ili CCM yetu isije ikaangukia pua. Naipenda CCM.wamemwambia Makonda ndo kiboko ya wapinzani
Unajua fika Hilo halipo hata kidogo!Chadema haihitaji huo utopolo wako , inakitaka kiti cha Urais 2025 liwake au inyeshe
Imeshaamuliwa anaesimama sio mama tena japo anapenda asimame!!Hana ushawishi wa kutosha huku bara!Hayataleta madhara kwenye kiti cha magogoni?
urais nje ya ccm hii nchi ngumu bado kufika huko,,,hapa ni kuongeza wabunge tu ,wakilegeza zaidi labda wawape na uwaziri ila urais sio karibuniChadema haihitaji huo utopolo wako , inakitaka kiti cha Urais 2025 liwake au inyeshe
Ndoto za mchana. Wataongezeka lakini hawatafika 1/3Mwaka ujao 3/4 ya Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania watakuwa wapinzani.
Imeshaamuliwa anaesimama sio mama tena japo anapenda asimame!!Hana ushawishi wa kutosha huku bara!
Kiti kitabaki CCM,kupewa kiti ni zaidi ya kura za wananchi hasa katika nchi zetu za Dunia ya tatu!
Upinzani wataambulia wabunge wengi sana na waziri mkuu pia lakini sio kiti!!
Mbowe anapigiwa chapuo la uwaziri mkuu na kukubaliwa Kwa maandamano ya chama chake ni dalili ya kuaminika na wenye dola!!
Nimeshiriki maandamano. Kwasasa nakula vuruga ya kuku wa kienyeji niunge mkutanoni.Na wewe umekiri kutoka moyoni au una zuga
Kwa hiyo duhMama hatakiwi
Mawil Huna akili au umelogwa.Nilisema ndiyo na hakuna ambae ameandamana bali watu wamefanya matembezi na jogging
Hiyo ni agenda ya mama , hata huko kwenye mihangaiko ya kulitafutia chakula taifa ndio agenda kuu kuwa demokrasia imestawi ...Ni nani *mshauri wa ruhusa za maandamano??
Mbona siyo kawaida?
Ni kwanini sasa hivi 2024/2025 mwaka wa uchaguzi?
Kuna jambo hapa si kawaida kwetu!
Zamani ilikuwa CHADEMA wakifanya maazimio tu ya kuandamana tayari taarifa za 'kiintelijensia' zinasambaa, na kuzuia maandamano.