Sasa huoni kuwa unachanganya madesa Kwa kuripoti maandamano Ukiwa msibani?kuna umati wapi hapo kwenye hayo mahangaiko acha upotoshaji wew 🐒
R.I.P Laigwanan comrade ENL
Usichanganye msiba na maandamano.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa huoni kuwa unachanganya madesa Kwa kuripoti maandamano Ukiwa msibani?kuna umati wapi hapo kwenye hayo mahangaiko acha upotoshaji wew 🐒
R.I.P Laigwanan comrade ENL
At a very first round,Siku nyingine Chadema mkiandamana tutawapeni Uwanja wa Kirumba kwa kweli
Kumbe mko Wengi Sana
Mfungapo Kwaresma Msiwe kama Wanafiki 😃
Unatia huruma ukiwa upande gani ?kuna umati wapi hapo kwenye hayo mahangaiko acha upotoshaji wew 🐒
R.I.P Laigwanan comrade ENL
Na hakuna lori wala teraJitahidi kuvumilia yasiyokufarahisha. Hapo hakuna nguvu Wala vitisho vya Dola. Huo ni umati unaokwenda kwa hiari Yao.
Aliyekuambia nimeajiriwa na CCM nani. Sina cha kuishukuru 😀😀😀Ndio uishukuru CCM kwa kukupa mshahara wa kulisha familia Yako
Chadema waachie Wafanyabiashara akina Heche
Zamani pale DSA ukianza Naboce tu unapewa na kadi ya CCM 😂😂😂🔥
Amina MtumishiNaiona Tume HURU ya UCHAGUZI na KATIBA mpya kabla ya Uchaguzi wowote ileeeeree😀
We nenda Arusha ukadungwe ngumi za uso huku hapakufainafuatilia kwa karibu sana mahangaiko yenu hapo mwanza,
na actually nimeomgea na singo kigaila muda mfupi ulopita ameniambia anapata maji kidogo mahali amechemsha sana...
ameniambia kuna changamoto ya mtandao kidogo online, limepokelewa hilo..
R.I.P Laigwanan comrade ENL
Mwamko hapa Mwanza ni mkubwa by far ilivyokuwa Dar.
Amina.....kwa tume hii hiiMwaka ujao 3/4 ya Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania watakuwa wapinzani.
Kijana huna uzalendo na ni kati ya wale wachochezi!Uwe field wewe?We endelea kupalilia "mindizi"!
Wao huko kwenye misiba wanachapana mangumi......Maandamano ya amani msiba wa shariMsiba ni jambo la Mungu na maandamano nayo ni ya Mungu
Na wewe umekiri kutoka moyoni au una zugaNipo Mwanza. Maandamano yamefanikiwa sana.
CCM ndio Chama DOLA na wewe hapo Kibaruani kwako unapotunza kumbukumbu za Fedha zinazozalishwa na Wanaume huku mtaani unatekeleza ilani ya Chama Cha Mapinduzi 😂😂😂Aliyekuambia nimeajiriwa na CCM nani. Sina cha kuishukuru 😀😀😀
Kabisa mkuuMiaka yote Dar imekuwa inajivuta kwenye siasa za upinzani. Kila mara nguvu huanzia mikoani kisha Dar hufuata. Kinyume kabisa na majiji mengine makuu ambapo mageuzi huanzia.
Acha uongo wewe , umepaka majivu jana hata hayajafutika uneanza kupotosha !CCM ndio Chama DOLA na wewe hapo Kibaruani kwako unapotunza kumbukumbu za Fedha zinazozalishwa na Wanaume huku mtaani unatekeleza ilani ya Chama Cha Mapinduzi 😂😂😂
Pointless. Mbona Mawaziri waliosimamiwa na Mzee Lowasa wako kazini? Mama nae yuko ziarani kikazi?CHADEMA wemefanya matembezi ya kufuraia kuruhusiwa kufanya mikutano wakati Taifa zima likiwa kwenye maombolezo ya kuondokewa na aliwai kua mgombea wa CHADEMA kiti cha Urais 2015 na waziri mkuu mstaafu hayati Edward Lowassa.
Ni maandalizi ya nusu mkate,kibano Cha kimataifa Cha miaka SITA ya jpm kimeleta pressure kubwa kimataifa kiasinkwamba linahitjika Binge lililobalance vizuri!!NAMBA MOJA AJAYE NCHINI embu niambie falsafa iliyopo nyuma ya pazia ya kuruhusu maandamano?
Ni ushauri sahihi kwa namba moja, au ni nini haswa?
Hayataleta madhara kwenye kiti cha magogoni?Ni maandalizi ya nusu mkate,kibano Cha kimataifa Cha miaka SITA ya jpm kimeleta pressure kubwa kimataifa kiasinkwamba linahitjika Binge lililobalance vizuri!!
Mama anakubali haya kwa shingo upande na hamna namna!!