Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
There's no fixed time for breastfeeding,amigos!Ni nani *mshauri wa ruhusa ya maandamano??
Mbona siyo kawaida?
Ni kwanini sasa hivi 2024/2025 mwaka wa uchaguzi?
Ruhusa imetolewa na Katiba 🐼Ni nani *mshauri wa ruhusa za maandamano??
Mbona siyo kawaida?
Ni kwanini sasa hivi 2024/2025 mwaka wa uchaguzi?
Mvua kubwa imechelewesha mambo , hata hivyo nimeamini watanzania hawaogopi mvua , wanaogopa zaidi bei ya sukariHalafu nimeshangaa kwanini maandamano hayapo live kama Dar au ndo wandishi walilambiishwa pesa, maana hadi waliwaandaa bodaboda nakuwahoji maswali waliyojibu kama walivyoelekezwa.
Halafu nimeshangaa kwanini maandamano hayapo live kama Dar au ndo wandishi walilambiishwa pesa, maana hadi waliwaandaa bodaboda nakuwahoji maswali waliyojibu kama walivyoelekezwa.
Kwani ruhusa ya Katiba imetoka mwaka huu?Ruhusa imetolewa na Katiba 🐼
Kwani Maandamano yameanza Mwaka huu?Kwani ruhusa ya Katiba imetoka mwaka huu?
Na wala haijakatazwa mwaka huu.Kwani ruhusa ya Katiba imetoka mwaka huu?
Watu wanafufuliwa fahamu zao.Leo Tarehe 15 feb 2024 ni siku ya baraka Jijini Mwanza, baada ya umati wa wananchi kujitokeza kwa wingi kushiriki maandamano ya amani ya kupinga ugumu wa maisha n miswada mibovu ya sheria za uchaguzi.
Hiki hapa ni kituo cha Igoma.
View attachment 2904724View attachment 2904726View attachment 2904727
Shetani hajawahi kumshinda MunguLicha ya mvua kubwa iliyokuwa inanyesha, nyomi ni kubwa. Sasa imekata hapatoshi leo.
NdiyoKwani Maandamano yameanza Mwaka huu?
HayaNdiyo